Huyu jamaa anaongea kama vile maisha ni rahisi saaaana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] angesema hata kuanzia million 30,40 ama 50 huko ndo apate hiyo million 2 ningemuelewa.Milioni 12, halafu upate faida ya milioni 2 kwa mwezi!! Ukifanikiwa kupata hiyo biashara unishirikishe na mimi niifanye aisee!!
Hiyo faida siyo ya mchezo hata kidogo!!
Mkuu mtaji wa million 12 ni mdogo sanaaa.Kambaku, wapo wanao ingiza zaidi ya hiyo, bado tu hunaziona fursa, kila project ina expectations zake. Tuwasubiri wadau watupe mawazo. Usisahau pia kuwa mtaji wa mil. 12 sio kidogo
Nenda katika mtaa unaotaka kuchukua frame. Na inategemea, nenda kwenye mtaa wa biashara unayoitaka.
Ukiwa huna mere mind ya unachotaka hutoona unachotaka. Kkoo ipo busy.
Ukitaka nguo nenda mtaa wa nguo frame tupu zipo nyingiiiii saaaaana.
Utashindwa wewe. Na kila mtaa una watu wake. Uliza wauza maduka au wapo wataalamu wa mambo hayo(madalali) chap unapata frame.
Na kazi za serikali unaacha kabisa. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ukipata idea basi nishtue mkuu nami niingie huko. Nitaingia na mil 24 ili nilaze mil 4 net profit kila mwezi
Kilombero kuna fursa gan zaid ya kulima tu? Orodhesha zingine tafadhali..Njoo kilombero,, Morogoro ufanye utafiti mdogo alafu uangalie biashara gani inakufaa maana uko kuna fursa nyingi Sana,,
But najua adi unapat m12 ushapanga la kufanya all in all njoo kilombero kuna fursa
Mkuu Chance, kwa sasa ni nguo aina gani zinalipa ChapKwa biashara ya spare ndio maana nimemwambia weka home. Aanze mwezi anafungua frame kkoo.. kwa nguo aende tu hakuna shida.
Za kike, magauni, matshirt unisex, jeans za kike, tight na bikershots. Chupi as wellMkuu Chance, kwa sasa ni nguo aina gani zinalipa Chap
toa millioni 5 nenda mkoani,kati ya mbeya,dodoma,mwanza nenda k awe wakala wa movies baada ya mwaka rudi hapa utupe mrejeshoSalaam Alleykhum,
Wadau kwa kutumia uzoefu wenu, nishaurini nifungue project/biashara gani kwa mtaji wa million 12 nilionao ili kila mwisho wa mwezi at least nipate Net profit ya milioni mbili.
Nipo tayari kufanya biashara ktk mkoa wowote Tanzania au hata kama ni importation business kama mtaji unatosha nipo tayari.
Nipeni ushauri ili nami nitoboe.
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]Ubber hailipi,bolt ndio habari ya mjini kwa sasa
HazijapandaUber si ndiyo inakuwa na nauli za juu kidogo kuliko bolt?
Au nauli za bolt zimepanda kwa sasa?
Mimi mtaji wangu 5M na napata 2M kwa mwezi, kila wiki naingiza 500KMilioni 12, halafu upate faida ya milioni 2 kwa mwezi!! Ukifanikiwa kupata hiyo biashara unishirikishe na mimi niifanye aisee!!
Hiyo faida siyo ya mchezo hata kidogo!!
mmh,tushirikishane fursa basi mkuuMimi mtaji wangu 5M na napata 2M kwa mwezi, kila wiki naingiza 500K
Mkuu, tupe madini kiongozi ili tusonge pamojammh,tushirikishane fursa basi mkuu
Kama mil 12 haiwezi kuleta milioni 2 kwa mwezi ina maaanaMillion 12 uingize million 2 kwa kwezi kama faida? Mkuu acha kufurahisha genge.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mtaji huo na kwa faida hiyo fanya chuma chakavu itakulipa sanaSalaam Alleykhum,
Wadau kwa kutumia uzoefu wenu, nishaurini nifungue project/biashara gani kwa mtaji wa million 12 nilionao ili kila mwisho wa mwezi at least nipate Net profit ya milioni mbili.
Nipo tayari kufanya biashara ktk mkoa wowote Tanzania au hata kama ni importation business kama mtaji unatosha nipo tayari.
Nipeni ushauri ili nami nitoboe.
Kama mil 12 haiwezi kuleta milioni 2 kwa mwezi ina maaana
Milioni 6 haziwezi kuzalisha milioni 1 kwa mwezi, ina maaana
Milioni 3 haziwezi kuzalisha laki 5 kwa mwezi, ina maana
Milioni1 na nusu haiwezi kuzalisha laki 2 na nusu ina maana
Laki 7 na nusu haiwezi kuzalisha laki 1 na 25elf kwa mwezi!!
Mbonavmimi hainiingii akilini?
Kwa mawazo ya wadau basi biashara hapa Tanzanua hazilipi.
Kwa hio laki 7 na ushee izalishe hamsini kwa mwezi?
Hebu fafanueni vipi mili 12 isizalishe milioni 2 kwa mwezi.
Kafanye biashara na hiyo hela ulete mrejesho mkuu.Kama mil 12 haiwezi kuleta milioni 2 kwa mwezi ina maaana
Milioni 6 haziwezi kuzalisha milioni 1 kwa mwezi, ina maaana
Milioni 3 haziwezi kuzalisha laki 5 kwa mwezi, ina maana
Milioni1 na nusu haiwezi kuzalisha laki 2 na nusu ina maana
Laki 7 na nusu haiwezi kuzalisha laki 1 na 25elf kwa mwezi!!
Mbonavmimi hainiingii akilini?
Kwa mawazo ya wadau basi biashara hapa Tanzanua hazilipi.
Kwa hio laki 7 na ushee izalishe hamsini kwa mwezi?
Hebu fafanueni vipi mili 12 isizalishe milioni 2 kwa mwezi.
Wewe ulirfanya biashara tuambie laki 750000 unapata faida sh. ngapi kwa mwezi.