mbongo_halisi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 7,074
- 5,486
Yaani ni wapuuzi sana hawa watuWakiona fujo zimewaelemea wanakimbilia kwenye nchi zenye amani na huko baada ya muda wanaanza tena kutaka kuleta fujo,nawapongeza India kwa kuweka sheria ya kuwakataa wasihamie nchini mwao.