Nigeria: Boko Haram wachinja wakulima 43

Huu ni unafiki kujaribu kupunguza ubaya na uzito wa tukio husika.
Kuficha ficha hakutasaidia kupata msaada wa kijeshi na intelijensia toka kwa nchi rafiki.
 
Acha kupotosha wote waliouliwa ni waislam. Na boko haram imesema wameua kulipiza kisasi
Narudia majority ni waislam ila kuna wakristu pia
Hakuna mkristo aliyeuawawa wewee achackuposha
 
Ttzo mtu akikosoa uislamu unahisi Ni mkristu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…