dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Achana na mamb ya waislamuBinafsi huwa nashindwa kuelewa kwa sababu Saudi Arabia mwezi ukiandama sehemu nyingine yoyote Duniani huwa hawafungui mpaka uonekane kwao, ila kwa hapa Tanzania Waislam wa Answar Sunnah wanasema ukionekana popote watu wanafungua, lakini Saudia wasipofungua na wao hawafungui hata kama nchi nyingine apart from Saudia utakuwa umeonekana, sasa hapa ndipo nnaposhindwa kuelewa hii concept ya mwezi muandamo.
Heshimu iman za wengine mkuu jaribu tumia maneno yenye stahaHabari za kusubiria mwezi ndio huwa zinanikumbusha kwamba hii imani ni ya kilofa sana.
Sawa mkuuHeshimu iman za wengine mkuu jaribu tumia maneno yenye staha
Ujue kuna mashehe halafu kuna mashehena, sasa wewe unawazungumzia mashehena na sio mashehe kiongozi. 😅We huoni hizo ifta zinazoandaliwa na taasisi za serikali kipindi hiki? Hicho chakula ni ibada ujue. Subiri siku ya iddi utasikia masheikh wakiongelea mambo ya siasa tupu ndio utajua hao ni wanasiasa wa jukwaa la dini
Ndio wakina nani tena hao mkuu...?Hapa kwetu si wapo wale extreemists nao wwanakula leo!!!
Kwa hiyo Dini sio za MUNGU...?ndio wanasema serikali haina dini ni porojo tu, hizi dini ni milki ya serikali kindakindaki chokoza dini uone utakavyoshughulikiwa kikamilifu. Ina maana serikali haina dini rasmi, dini zote ni za serikali ina mikono yake huko
Kwa heshima namuomba bibie, FaizaFoxy anijibieKwani outer space Kuna mwezi ngapi??🎤
Sasa hao Wanaijeria wameswali kwa kukamilisha siku 30 au kwa kuuona mwezi...?Wewe ulisikia jana kuwa mwezi umeonekana Nigeria?
Mwezi wa kimataifa sio mwezi wa Saudia,
Bali nchi yoyote
Isipokuwa inahitajika taarifa ya uhakika.
Jana nchi nyingi zimetoa taarifa ya kutoonekana mwezi hasa kwa sababu ya tukio la kupatwa kwa jua.
NB
Swala la IDDI ni swala lina utaratibu wake
Kuna madhehebu yanafuata utaratibu wao, hata huo mwezi hawaangalii
Saturn peke ake yupo na miezi 146.. Sisi Earth tumepigwa mmoja tu.. Jirani Jupiter ana 95Kwani outer space Kuna mwezi ngapi??🎤
wanazingua hawaBinafsi huwa nashindwa kuelewa kwa sababu Saudi Arabia mwezi ukiandama sehemu nyingine yoyote Duniani huwa hawafungui mpaka uonekane kwao, ila kwa hapa Tanzania Waislam wa Answar Sunnah wanasema ukionekana pe watu wanafungua, lakini Saudia wasipofungua na wao hawafungui hata kama nchi nyingine apart from Saudia utakuwa umeonekana, sasa hapa ndipo nnaposhindwa kuelewa hii concept ya mwezi muandamo.
Mungu anatajwa kama fiction tu ili utiwe hofu uwe mtii wa sheria za nchi bila shuriti. Mungu unaye wewe ndani ya ufahamu wako asilia. Unapaswa uamini habari za Mungu huko unakohubiriwa kwenye dini ili akili yako iwekwe sawa usiwe kaidiKwa hiyo Dini sio za MUNGU...?
NdioKwa hiyo Dini sio za MUNGU...?
Wewe unaishi "outer space"?Kwani outer space Kuna mwezi ngapi??🎤
Majibu ni mengi, unaambiwa dini mpango wa mwanadamu ili kumuabudu MunguKwa hiyo Dini sio za MUNGU...?
Sio kweliBinafsi huwa nashindwa kuelewa kwa sababu Saudi Arabia mwezi ukiandama sehemu nyingine yoyote Duniani huwa hawafungui mpaka uonekane kwao, ila kwa hapa Tanzania Waislam wa Answar Sunnah wanasema ukionekana popote watu wanafungua, lakini Saudia wasipofungua na wao hawafungui hata kama nchi nyingine apart from Saudia utakuwa umeonekana, sasa hapa ndipo nnaposhindwa kuelewa hii concept ya mwezi muandamo.