Niache Nteseke
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 2,162
- 2,616
- Thread starter
- #41
Kwa nini kiongozi ?Achana na mamb ya waislamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini kiongozi ?Achana na mamb ya waislamu
Imani ya kilofa kivipi kiongozi...?Habari za kusubiria mwezi ndio huwa zinanikumbusha kwamba hii imani ni ya kilofa sana.
Kwani kuna nchi zilizoposhana masaa 24 kiongozi...?Dunia bado inajizungusha kwenye mhimili wake, ndio maana kwingine usiku na kwingine ni mchana
Wanaozingua ni Wanaijeria au wabongo kiongozi...?wanazingua hawa
Hizi zinazoitwa Imani za kiDini ni kwa manufaa ya watu fulani. Hakuna Nabii wala Mtume aliyekuwa muumini wa dini au dhehebu fulani...Binafsi huwa nashindwa kuelewa kwa sababu Saudi Arabia mwezi ukiandama sehemu nyingine yoyote Duniani huwa hawafungui mpaka uonekane kwao, ila kwa hapa Tanzania Waislam wa Answar Sunnah wanasema ukionekana popote watu wanafungua, lakini Saudia wasipofungua na wao hawafungui hata kama nchi nyingine apart from Saudia utakuwa umeonekana, sasa hapa ndipo nnaposhindwa kuelewa hii concept ya mwezi muandamo.
Ina maana hakuna MUNGU wala Sheria zinazotokana na yeye kiongozi...?Mungu anatajwa kama fiction tu ili utiwe hofu uwe mtii wa sheria za nchi bila shuriti. Mungu unaye wewe ndani ya ufahamu wako asilia. Unapaswa uamini habari za Mungu huko unakohubiriwa kwenye dini ili akili yako iwekwe sawa usiwe kaidi
Na hao mitume waliokuja na Dini waliokuja na Dini zipi kiongozi...?Ndio
Dada kama dada...! 😅Wewe unaishi "outer space"?
Huwezi kuwa na mwezi "outer space" ambapo hakuna sayari. Mwezi au Miezi (satellite moons) hukaa karibu na sayari.
kafanye homework yako.
Wote tu mkuuWanaozingua ni Wanaijeria au wabongo kiongozi...?
Ngoja nikapitie mistari ya longitude, nitaleta majibuKwani kuna nchi zilizoposhana masaa 24 kiongozi...?
Mungu yuko rohoni na sheria zake huandikwa huko, dhamiri yako itakuongoza kujua mema na mabayaIna maana hakuna MUNGU wala Sheria zinazotokana na yeye kiongozi...?
Yesu kaja na dini gani?Na hao mitume waliokuja na Dini waliokuja na Dini zipi kiongozi...?
Basi sawa kiongozi.Majibu ni mengi, unaambiwa dini mpango wa mwanadamu ili kumuabudu Mungu
Minal Faidhina mkuu...!Hapa kwetu lazima Eid itakuwa next week J3 na J4, yaani tar 15 and 16 April, haraka hatuna sie yakhee..!! Eid Mubarak..!!
Hapana mwezi hata ukiandama siku ya 29 watakuwa wamefunga siku 29 which is right kwa sababu kuna miezi mirefu na miezi mifupi mkuu.Sasa hawa wanaofunga ikitokea mwezi ukaandama kabla ya siku 30 hawatavusha siku ili itimie 30? Mbona hapo itakuwa ni abrakadabra za binadamu kujiamulia siku za kufunga na Mungu hahusiki hapo
Mbona Naijeria umeandama jana na leo wameswali Eid ila Answar hawajaswali kiongozi...?Sio kweli
Ansari hua wanafungua mwezi ukionekana popote,hata ukionekana chato
Tunasubiria jibu kiongozi.Ngoja nikapitie mistari ya longitude, nitaleta majibu
Samahani kiongozi wewe ni Dini gani mkuu...?Mungu yuko rohoni na sheria zake huandikwa huko, dhamiri yako itakuongoza kujua mema na mabaya