Nigeria leo ni Sikukuu ya Eid El Fitr?

mkiambiwa mnaabudu ibada za sanamu/mwezi muwe mnakubali, Mungu anasibishwa vipi na mwezi ndio ibada ifanyike?
Ni kama watu wanavyosubiria sikukuu nyingine itakapotimia muda na tarehe husika watu wanasherehekea ni kama vile huo mwezi unapofika mwezi maalum watu wanasherehekea sikukuu husika mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…