Nigeria: Mchungaji apanda madhabahuni na silaha aina ya AK-47

Waache ajilinde wavaakobazi wanawawinda sana wakristo naijeria.
 
Licha ya kuwa na wasomi wengi, Nigeria ndiyo taifa lililoharibiwa sana na dini zote mbili za middle east
 
Kiumbe aitwae AK 47 kutoka Kwa mtaalam mjeda MIKHAIL KALASHNIKOV Russia baby!!! Duniani kote kama Kuna vita mpinzani akisikia kwamba upande wa pili Kuna AK 47 ni mwendo wa uharo na kutafuta Chocho la kuwashia SANLG Kwa miguu chezea weye ndo maana Kuna jamaa walikaa wakaona isiwe taabu hebu tujiunge pamoja Ili mmoja akivamiwa tusaidiane VIVA RUSSIA I love you Putin
 
Kwa fujo za kidini zilizopo hapo Nigeria ni sawa tu, tena alipaswa aongezewe na bomu la kurusha kwa mkono.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…