Tajiri wa kusini
JF-Expert Member
- Nov 28, 2022
- 1,079
- 2,947
Mchungaji nchini nigeria anawapika wanaume kisha mchuzi wake wanakunywa wadada wanao kosa mimba ili wapate mimba😂😀🙌
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakristo akili zenu haziko sawa hata kidogoDini tumeletewa
Wateja wengi wa huo mchuzi ni waislam lakini,angalia Mfano Kwa mwamposa waislam wanaongoza Kwa shuhudaWakristo akili zenu haziko sawa hata kidogo
Sasa huyo Mwamba ambae anawekewa viungo walahi hawawezi kukosa Mimba hao wanawake.
ni kweli waislam ndio huwa wengi kwa abrakadabra hizi. Waislam hawana elimu ya mafundisho ya kikristo ndio maana hunaswa kirahisi kwenye imani potofuWateja wengi wa huo mchuzi ni waislam lakini,angalia Mfano Kwa mwamposa waislam wanaongoza Kwa shuhuda
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]anazungumzia mchuzi mweupe uyoaisee [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2],,, Kwahiyo mchuzi wa huyo jamaa ndo utawapa mimba [emoji23][emoji23], au kuna mchuzi unazungumziwa hapo me sijaelewa [emoji848][emoji848]
sasa kama huo ndo hadi wampike sasa😂😂😂[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]anazungumzia mchuzi mweupe uyo
[emoji23][emoji23][emoji23]Mchungaji nchini nigeria anawapika wanaume kisha mchuzi wake wanakunywa wadada wanao kosa mimba ili wapate mimba[emoji23][emoji3][emoji119]
View attachment 2655061View attachment 2655062
hao wanaolaghaiwa kwa imani hizo si wakristo, wakristo always wanafundishwa kutambua na kujiepusha na imani potofu zinazofanana na ukristo. Kama tu mkristo kukimbilia kwa waganga wa kienyeji kutatua matatizo yao ni ngumu why akimbilie kwa wahubiri feki? Hawa wanaorubunika ni jamii ya watu wasiokuwa wakristo na hawana imani ya kikristoWakristo akili zenu haziko sawa hata kidogo