grand millenial
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 3,943
- 5,550
Jitahidi sana kutokashifu watu wa dini nyengine ili usiwe sababu ya Mungu wako kutukanwa pia mkuuWakristo akili zenu haziko sawa hata kidogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jitahidi sana kutokashifu watu wa dini nyengine ili usiwe sababu ya Mungu wako kutukanwa pia mkuuWakristo akili zenu haziko sawa hata kidogo
mi mwenyewe jana jumapili nilivaa suti nyeusi njia nzima naitwa mchungaji na kila mpita njia, ikabidi nione aibu kupewa sifa ambazo sikuwa nazoHahaaaa, tumeingia juu ya msingi wa mitume na manabii na Yesu mwenyewe ndio jiwe kuu la pembeni. Pia tumeahidiwa kuwa "Tumejengwa kwenye mwamba imara na hata malango ya kuzimu hayatatushinda".
Sasa hivi watu wanajiokotea picha tu mtandaoni na kusema mchungaji/kanisa. Mtu akivaa suti tu na akiwa anafanya mambo ya hovyo watasema kanisa/mchungaji. Sasa kama hii picha utaprove vipi huyo ni mchungaji?
Niliwaona pale Dakawa Morogoro, kulikuwa na shehe Sharif mmoja anawatoa majini waislam kwa kuwashikisha kitambaa cheupe chenye mafuta pia akawa anawang'ata na meno kwenye vidole vya mikono yao eti ndio pepo linatoka.unataka kusema kwenye uislam unaouamini wewe kuwa ndiyo dini ya kweli hakuna abrakadabra? Mbona hata uislam kuna mambo ambayo ni utata mtupu usiaminika
wa mchongo muislamu mwenye anaweza kushiriki upumbavu wa huyo mume wenu mwamposa?Wateja wengi wa huo mchuzi ni waislam lakini,angalia Mfano Kwa mwamposa waislam wanaongoza Kwa shuhuda
waislam hawapaswi kuwanyooshea kidole wakristo kunapotokea imani potofu hata kwao upotofu upoNiliwaona pale Dakawa Morogoro, kulikuwa na shehe Sharif mmoja anawatoa majini waislam kwa kuwashikisha kitambaa cheupe chenye mafuta pia akawa anawang'ata na meno kwenye vidole vya mikono yao eti ndio pepo linatoka.
😆 wakristo bwanaNi
Ni waislam ndio,kwani ni Siri?
Hatari sanaAisee huyo hicho kiungo kikubwa cha mchuzi [emoji1787][emoji853][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kwa hio sura hao watoto watakua majambazi [emoji1787][emoji1787]
Wateja wengi wa huo mchuzi ni waislam lakini,angalia Mfano Kwa mwamposa waislam wanaongoza Kwa shuhuda
ni kweli waislam ndio huwa wengi kwa abrakadabra hizi. Waislam hawana elimu ya mafundisho ya kikristo ndio maana hunaswa kirahisi kwenye imani potofu