Nigeria: Wabunge wagoma kununua magari yaliyotengenezwa nchini humo

crankshaft

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2019
Posts
1,427
Reaction score
3,438
Wabunge nchini Nigeria wanatarajia kutumia zaidi ya 38m$ ambapo kila mmoja Kati ya wabunge 466 atatumia zaidi ya 400m za kitanzania kuagiza gari aina ya Toyota SUV

Pendekezo la kununua magari ambayo ni home made lilitupiliwa mbali na wabunge hao wakidai hayaendani na hali ya barabara nchini humo.


Source: Nigeria news sources

This is Africa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…