Nigeria wanafanikiwa kwenye Kilimo kwa sababu huwa wanafanya maamuzi Magumu sana

Nigeria wanafanikiwa kwenye Kilimo kwa sababu huwa wanafanya maamuzi Magumu sana

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2011
Posts
7,872
Reaction score
9,263
Nigeria ni wazalishaji wa kubwa sana wa Muhogo Africa na Duniani kwa ujumla, Pia ni wazalishaji wakubwa sana wa Mahindi Africa ukitoa South Africa.

Kuna wakati Nigeria Muhogo wake ulikosa soko China, nazani kulitokea Mugogoro wa Kibiashara.Serikali ya Nigeria ikabidi waje na Sheria kari sana ya kulazimisha Miller zote shariti wachanganya muhogo na mahindi kwenye kusaga unga wa mahindi wa kuuza.

Hii ilikuwa ni lazima na Kampuni isio taka ifunge Biashara, Hii ilifanya Muhogo ukapata soko kubwa sana la ndani na hivyo kuwafanya wakulima kuendelea kupata Faida.

Kuna Sheria yao pia wanataka wanao process ngano Nigeria shariti wachanganye na Muhogo kwa % kadhaaa sio ombi ni sheria.

Sisi tunahangaika na Ngano ya kula wakati tuna mihogo, na mihogo inafanya kazi za unga wa ngano. Mihogo ingeweza changanywa na ngano kwenye processing na tungeshuhudia soko zuri sana la muhogo Tanzania.

Bit nani anaweza simamia hilo? Ujue some tome bila kuchukua hatua gumu hakuna Mapinduzi tutakayo fikia kwenye kilimo.
 
Kwani tajiri namba moja Afrika anatokea wapi? ujue naijeria si bongo, bongo hakuna kufikiri ni kutenda tu yaleyale yalioachwa na wazee wa zamani akina nyerere na wakoloni.
Usitegemee mambo makubwa kutokea Tanzania katika kizazi hiki.
 
Nigeria ni wazalishaji wa kubwa sana wa Muhogo Africa na Duniani kwa ujumla, Pia ni wazalishaji wakubwa sana wa Mahindi Africa ukitoa South Africa.

Kuna wakati Nigeria Muhogo wake ulikosa soko China, nazani kulitokea Mugogoro wa Kibiashara.Serikali ya Nigeria ikabidi waje na Sheria kari sana ya kulazimisha Miller zote shariti wachanganya muhogo na mahindi kwenye kusaga unga wa mahindi wa kuuza.

Hii ilikuwa ni lazima na Kampuni isio taka ifunge Biashara, Hii ilifanya Muhogo ukapata soko kubwa sana la ndani na hivyo kuwafanya wakulima kuendelea kupata Faida.

Kuna Sheria yao pia wanataka wanao process ngano Nigeria shariti wachanganye na Muhogo kwa % kadhaaa sio ombi ni sheria.

Sisi tunahangaika na Ngano ya kula wakati tuna mihogo, na mihogo inafanya kazi za unga wa ngano. Mihogo ingeweza changanywa na ngano kwenye processing na tungeshuhudia soko zuri sana la muhogo Tanzania.

Bit nani anaweza simamia hilo? Ujue some tome bila kuchukua hatua gumu hakuna Mapinduzi tutakayo fikia kwenye kilimo.
Wahusika wamewekwa mfukoni na mabosi
 
Mkuu CHASHA FARMING naziona Sana jitihada zako katika kilimo kupitia jukwaa hili

Unaonesha unamoyo.na unakipenda kilimo Sana ila miundo mbinu na Sera za nchi hi n kikwazo Sana

Naamin ungepata fursa ya kukutana na watunga Sera na hata waziri wa kilimo ndugu BASHE ungempa madini matamu Sana


Anyway mm najiandaa kwenda Nairobi katika maonesho ya kilimo.mwaka huuu karibu Sana muda ukifika tujumuike pamoja ukaone wenzetu nn wanamaanisha.wanaposema kilimobiashara

Hawa wabongo watakuchelewesha
 
Mkuu CHASHA FARMING naziona Sana jitihada zako katika kilimo kupitia jukwaa hili

Unaonesha unamoyo.na unakipenda kilimo Sana ila miundo mbinu na Sera za nchi hi n kikwazo Sana

Naamin ungepata fursa ya kukutana na watunga Sera na hata waziri wa kilimo ndugu BASHE ungempa madini matamu Sana


Anyway mm najiandaa kwenda Nairobi katika maonesho ya kilimo.mwaka huuu karibu Sana muda ukifika tujumuike pamoja ukaone wenzetu nn wanamaanisha.wanaposema kilimobiashara

Hawa wabongo watakuchelewesha
Nitaenda ila inategemeana na Uchaguzi wao wa mwezi wa 8 utaendaje kama utaisha salama basi nitatimba, Tutawasiliana muda ukifika
 
Nigeria ni wazalishaji wa kubwa sana wa Muhogo Africa na Duniani kwa ujumla, Pia ni wazalishaji wakubwa sana wa Mahindi Africa ukitoa South Africa.

Kuna wakati Nigeria Muhogo wake ulikosa soko China, nazani kulitokea Mugogoro wa Kibiashara.Serikali ya Nigeria ikabidi waje na Sheria kari sana ya kulazimisha Miller zote shariti wachanganya muhogo na mahindi kwenye kusaga unga wa mahindi wa kuuza.

Hii ilikuwa ni lazima na Kampuni isio taka ifunge Biashara, Hii ilifanya Muhogo ukapata soko kubwa sana la ndani na hivyo kuwafanya wakulima kuendelea kupata Faida.

Kuna Sheria yao pia wanataka wanao process ngano Nigeria shariti wachanganye na Muhogo kwa % kadhaaa sio ombi ni sheria.

Sisi tunahangaika na Ngano ya kula wakati tuna mihogo, na mihogo inafanya kazi za unga wa ngano. Mihogo ingeweza changanywa na ngano kwenye processing na tungeshuhudia soko zuri sana la muhogo Tanzania.

Bit nani anaweza simamia hilo? Ujue some tome bila kuchukua hatua gumu hakuna Mapinduzi tutakayo fikia kwenye kilimo.
Hii inatakiwa kuanzishwa na Tanzania inaweza saidia kilimo.
 
Kwani tajiri namba moja Afrika anatokea wapi? ujue naijeria si bongo, bongo hakuna kufikiri ni kutenda tu yaleyale yalioachwa na wazee wa zamani akina nyerere na wakoloni.
Usitegemee mambo makubwa kutokea Tanzania katika kizazi hiki.
Watanzania wengi uvivu tu

Nigeria kuna wafuga kuku wenye mashamba yenye kuku hadi milioni moja wanasafirisha Ulaya
Sekta binafsi Tanzania bado sana
 
Sisi tunahangaika na Ngano ya kula wakati tuna mihogo, na mihogo inafanya kazi za unga wa ngano. Mihogo ingeweza changanywa na ngano kwenye processing na tungeshuhudia soko zuri sana la muhogo Tanzania.
Maskini mvivu hujaa miwazo kibao asiyofanyia kazi

Si uifanyie kazi hiyo miwazo yako utajirike
 
Nimependa hayo maamuzi ya wenzetu
Ila tatizo letu sio tu hatuna maamuzi bali pia viongozi wetu hawajali au hawatumii akili vizuri kujipaitia kipato

Wao wanawaza kutuongezea kodi kila siku badala ya kuwa wabunifu

Kuna nchi zingine africa kama Egypt wanatumia mto Nile kwa umwagiliaji
Na nchi kama India, Bangladesh na hata latino’s
Ila Sisi Mito yetu hata kusogelea unakatazwa sasa Mungu katupa neema zote hizo mpaka lakes lakini ukimwagilia tu kosa

Mkuu mleta mada mngekuwa mnapambana kuwe na mashamba makubwa ya umwagiliaji Kwanini tusitumie vyanzo vyetu vya bure badala ya kuagiza chakula nje?
 
Sisi kwetu bajeti na mipango ya kilimo inaishia kwenye makaratasi kila mwaka hakuna juhudi za dhati kabisa kuinua kilimo ila km tungekua serious tunauwezo wa kuilisha afrika
 
Nigeria ni wazalishaji wa kubwa sana wa Muhogo Africa na Duniani kwa ujumla, Pia ni wazalishaji wakubwa sana wa Mahindi Africa ukitoa South Africa.

Kuna wakati Nigeria Muhogo wake ulikosa soko China, nazani kulitokea Mugogoro wa Kibiashara.Serikali ya Nigeria ikabidi waje na Sheria kari sana ya kulazimisha Miller zote shariti wachanganya muhogo na mahindi kwenye kusaga unga wa mahindi wa kuuza.

Hii ilikuwa ni lazima na Kampuni isio taka ifunge Biashara, Hii ilifanya Muhogo ukapata soko kubwa sana la ndani na hivyo kuwafanya wakulima kuendelea kupata Faida.

Kuna Sheria yao pia wanataka wanao process ngano Nigeria shariti wachanganye na Muhogo kwa % kadhaaa sio ombi ni sheria.

Sisi tunahangaika na Ngano ya kula wakati tuna mihogo, na mihogo inafanya kazi za unga wa ngano. Mihogo ingeweza changanywa na ngano kwenye processing na tungeshuhudia soko zuri sana la muhogo Tanzania.

Bit nani anaweza simamia hilo? Ujue some tome bila kuchukua hatua gumu hakuna Mapinduzi tutakayo fikia kwenye kilimo.
Sasa kuwa mzalishaji mkubwa wa zao moja ama mawili ni kufanikiwa kwenye kilimo?

Kenya pia wanaongoza kwenye uzalishaji wa Kahawa, Chai, Maua na Mirungi. Wao pia wamefanikiwa kwenye kilimo?

Sasa tukiorodheza mazao Tanzania inaongoza, utasemaje?
 
Sasa kuwa mzalishaji mkubwa wa zao moja ama mawili ni kufanikiwa kwenye kilimo?

Kenya pia wanaongoza kwenye uzalishaji wa Kahawa, Chai, Maua na Mirungi. Wao pia wamefanikiwa kwenye kilimo?

Sasa tukiorodheza mazao Tanzania inaongoza, utasemaje?
Unataka kusemaje? Unacho pinga ni kipi? Nazani umezoea sana post za kubishana, unajua GDP ya Nigeria kwenye kilimo ni how Much? Kilimo Nigeria kina changia kwa mwaka zaidi ya Dollar Billion 90, hii inazidi bajeti ya Tanzania.

Au unazani nini kimepelekea Nigeria kupiku Africa Kusini na kuwa nchi yenye Uchumi mkubwa Africa? Sasa piga Dollar Billion 90 kwa Tsh ni sh ngapi,
 
Sisi tunahangaika na Ngano ya kula wakati tuna mihogo, na mihogo inafanya kazi za unga wa ngano. Mihogo ingeweza changanywa na ngano kwenye processing na tungeshuhudia soko zuri sana la muhogo Tanzania.
Muhogo wenyewe unalimwa pwani ambako hakuna garantee ...wazalishaji wakiamua kwenda likizo ya mdundiko mjue mnakufa njaa
 
Unataka kusemaje? Unacho pinga ni kipi? Nazani umezoea sana post za kubishana, unajua GDP ya Nigeria kwenye kilimo ni how Much? Kilimo Nigeria kina changia kwa mwaka zaidi ya Dollar Billion 90, hii inazidi bajeti ya Tanzania.

Au unazani nini kimepelekea Nigeria kupiku Africa Kusini na kuwa nchi yenye Uchumi mkubwa Africa? Sasa piga Dollar Billion 90 kwa Tsh ni sh ngapi,
We ni mpumbavu!

Eti ni dola billion 90. Bajeti ya Nigeria haizidi Dollar billion 30 na hapo mikopo kibao kwenye hiyo bajeti.
 
We ni mpumbavu!

Eti ni dola billion 90. Bajeti ya Nigeria haizidi Dollar billion 30 na hapo mikopo kibao kwenye hiyo bajeti.
Mchango wa uchumi sio sawa na bajeti... bajeti ya serikali ni sehemu tu ya uchumi na sio pato zima la taifa. Kuna sekta zina mchango wenye thamani kubwa zaidi ya bajeti ya serikali kwenye uchumi wa nchi!
 
Mkuu CHASHA FARMING naziona Sana jitihada zako katika kilimo kupitia jukwaa hili

Unaonesha unamoyo.na unakipenda kilimo Sana ila miundo mbinu na Sera za nchi hi n kikwazo Sana

Naamin ungepata fursa ya kukutana na watunga Sera na hata waziri wa kilimo ndugu BASHE ungempa madini matamu Sana


Anyway mm najiandaa kwenda Nairobi katika maonesho ya kilimo.mwaka huuu karibu Sana muda ukifika tujumuike pamoja ukaone wenzetu nn wanamaanisha.wanaposema kilimobiashara

Hawa wabongo watakuchelewesha
Umeandika ki-facebook mno. Hariri kwanza ndio uachie uzi. Mbona lawama kwa Serikali?

Lundusi hawajambo au upo Matomondo? Nipo Luhuwiko hapa NFRA natunza nafaka, lete nafaka zako zihifadhiwe uache kuzihifadhi hapo Maposeni.

Wakunyumba acha kulia lia, njoo La Charlez nipo na Mosile Meneja tunabugia laga.
 
Back
Top Bottom