Nigeria wanafanikiwa kwenye Kilimo kwa sababu huwa wanafanya maamuzi Magumu sana

Maskini mvivu hujaa miwazo kibao asiyofanyia kazi

Si uifanyie kazi hiyo miwazo yako utajirike
Ana mtaji kweli? Au lawama tu kwa Serikali. Huyo ni sawa na wale jamaa wa nadharia/business modal kibao darasani ila ku-implement theories into practice is miracle.
 
Mchango wa uchumi sio sawa na bajeti... bajeti ya serikali ni sehemu tu ya uchumi na sio pato zima la taifa. Kuna sekta zina mchango wenye thamani kubwa zaidi ya bajeti ya serikali kwenye uchumi wa nchi!
Anaelewa/ataelewa ulichokisema professionaly hivi kweli?
 
Mchango wa uchumi sio sawa na bajeti... bajeti ya serikali ni sehemu tu ya uchumi na sio pato zima la taifa. Kuna sekta zina mchango wenye thamani kubwa zaidi ya bajeti ya serikali kwenye uchumi wa nchi!
Achaneni nae huyo. Siyo kosa lake. Ana upungufu wa akili kichwani, na mbaya zaidi hayupo tayari kuelimishwa
 
Wewe unaona ni haki kuwalazimisha watu kula hata wasichopenda(muhogo+ngano) na hii sheria ingekuja huku unavyofikiri wewe ingeshangiliwa au Rais angeonekana dikteta?
 
Wewe unaona ni haki kuwalazimisha watu kula hata wasichopenda(muhogo+ngano) na hii sheria ingekuja huku unavyofikiri wewe ingeshangiliwa au Rais angeonekana dikteta?
Tungelalamika baadae tungezoea ndio watanzania tulivyo
 
Ni wazo zuri, ili kuongeza soko la ndani. Na kiujumla soko kwa mkulima lisiyumbeyumbe kupunguza risk zisizo na msingi.

Kutegemea soko la nje tu kunapunguza wakulima ari mfano mzuri ni suala la mahindi mwaka ule
 
Kwani tajiri namba moja Afrika anatokea wapi? ujue naijeria si bongo, bongo hakuna kufikiri ni kutenda tu yaleyale yalioachwa na wazee wa zamani akina nyerere na wakoloni.
Usitegemee mambo makubwa kutokea Tanzania katika kizazi hiki.
Kwa kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…