Nigeria yaacha kununa, ipo tayari kujiunga na Waafrika wengine, pia Kiswahili chateuliwa kama lugha rasmi ya Afrika

Hata sisi pia hatuwezikubali kushirikiana na wachawi, nchi maskini zaidi EA, nchi lazy zaidi in Africa na nchi ya elimu duni.
Ninyi mnatuhitaji sana na mnatuigopa sana, bila sisi zaidi ya 40% ya viwanda vyenu vitafungwa kwa kukosa raw materials, hapo sijasema njaa na kuwafungia njia ya bidhaa zenu kufikia nchi za SADC. Mbona tunawachokoza kwa kuchoma vifaranga na kuuza Ng'ombe zenu na kunyanyasa raia wa Kenya na hamfanyi lolote, bado Uhuru anakuja kujikomba?
 
Juzi tu hapa Jaguar alikohoa kila Tanzanian akatokwa na machozi, why? You give us raw material we give you back finished product, who's doing fooling who there?
 
Juzi tu hapa Jaguar alikohoa kila Tanzanian akatokwa na machozi, why? You give us raw material we give you back finished product, who's doing fooling who there?
Tulitoa Amri kwa rais wenu kuomba radhi haraka sana, na alifanya hivyo bila kuchelewa, hadi Leo bado anaendelea kuomba msamaha huko Chato.
 
Mkuu acha kujibaraguza! Taja hizo bidhaa zaidi ya maziwa!!!
Mnasema bidhaa zipo nyingi halafu unaishia kutaja maziwa tu!!?
Jiongeze mkuu, nimekupa mfano mmoja tu. Hivi kuna kitu chochote ambacho hakizalishwi hapa Afrika? Hata hizo simu ambazo unaongea kuhusu material za kutengeneza viungo karibia vyote huwa zinatoka hapa Afrika. Mkataba wa AfCFTA utasaidia nchi za Afrika pia kuuza mali ghafi nje ya bara hili kwa standard moja, bei nk.
https://au.int/en/ti/cfta/about Hebu pitia kwenye link hii hapa ujifunze mengi kuhusu mkataba wa AfCFTA, wa nchi 50 za Afrika. Maanake naona tunajibizana kuhusu vitu ambavyo vipo wazi kabisa.
 
Mkuu umeongea ukweli mtupu kabisa, [emoji122] [emoji122] [emoji122] japo hawawezi kukuelewa kamwe
 
Makao makuu yawe kwenu na mmekaidi kujiunga..
 
Makao makuu yawe kwenu na mmekaidi kujiunga..

Aha haaa. Tunajaribu kuangalia lengo la huyo muhamaishaji wa huu muungano. Isije ikawa tunamuamini mtu, kumbe katumwa na mabeberu.

Sisi tukiingia tu, utaona itakavyo changamka. Maana tayari eneo lipo kule jijini Arusha, au wakipenda watapewa eneo jijini Dodoma.
 
Mkuu umeongea ukweli mtupu kabisa, [emoji122] [emoji122] [emoji122] japo hawawezi kukuelewa kamwe
Wasielewe kabisa lakini ukweli haufichiki, nawashangaa hawa watu kwa namna wanavyoisemea Kenya kwa mtu ambae hujafika unaweza kujua huko ni peponi lakini nikuhakikishie hakuna mahali Afrika mashariki kuna maisha magumu kama Nairobi

Ndio maana Nairobi kuchomwa screwdriver/bisibisi ni kitendo cha dakika, kule majambazi wapo nje nje maisha kule magumu sana watu wanaishi kwenye vibanda vya mabati na slums ni nyingi sana. Kuna gape kubwa kati ya matajiri na masikini pia umasikini wa chakula ni mkubwa kuliko nchi yoyote Africa na huenda duniani, watu wanauana sababu ya ugali.
 
Unatarajia nchi ya kibepari Watu wote wawe matajiri au wote wawe mafukara kama hapo kwenu? Hakuna nchi watu wake wana maisha magumu kama TZ. Wapi unaskia watu watu wanachinja watoto wadogo ili kuepuka umaskini?
 

Leta facts kwamba mligundua gesi kitaalam mwaka wa 1977, wacha kurusha rusha maneno, hii JF Kenyan section sio kama huko mnakozoea kunyamazishana kwa maneno matupu.

Katiba bado mnatumia ya mkoloni, kile ambacho huwa mnafanya ni kubadlisha badilisha maeneo na vipengee kama tulivyokua tunafanya kabla hatujaandika katiba mpya.

Siku nyingine ujiandae na facts ukitaka kujadili chochote na Mkenya, sisi tuna asili ya kuhoji kila kitu, wabishi kupita maelezo, tunapenda kutaja kitu kama kilivyo, haturembi, hatupaki mafuta, hatuna huo unafiki wenu wa kuitana ndugu ilhali nyuma ya pazia mnakwamishana na kuvutana nyuma.
 

Nani mwenye akili timamu aiweke Nairobi kuwa Head_office??
 
Juzi tu hapa Jaguar alikohoa kila Tanzanian akatokwa na machozi, why? You give us raw material we give you back finished product, who's doing fooling who there?

Finished product gani mzalishazo ambazo zinakuja Tanzania???

Aki vile Wakenya mnaumwa sana
 
Unatarajia nchi ya kibepari Watu wote wawe matajiri au wote wawe mafukara kama hapo kwenu? Hakuna nchi watu wake wana maisha magumu kama TZ. Wapi unaskia watu watu wanachinja watoto wadogo ili kuepuka umaskini?
Umasikini wa chakula uliopo Kenya unatisha acha ukweli utawale tu, tuambiane ukweli Tanzania ni masikini kweli wala sikatai lakini umasikini uliopo Tanzania sio wa chakula, Kenya serikali inatoa ruzuku ya chakula kushusha bei ya vyakula hii ni kutokana na Kenya kutumia zaidi 70% chakula chote haizalishwi Kenya.


Kabla ya kuongea kuhusu uchumi wa GDP tunaangalia kwanza basic needs, kama chakula shida hata huko kwingine ni shida tu japo mna International organisations nyingi na mkoloni aliijenga lower Kenya vyema.
 
Mahindi, mihogo na chai bila maziwa ndivyo vyakula ambavyo mtanzania wa kawaida anaweza kuvipata. Vya fukara wA kikenyA ni vile huwa mnavibeza humu usiku na mchana, ugali,sukuma ,gedheli na maziwa. Niambie ni nani anapata lishe bora hapo. Utafiti ulipofanywa ilibainika kwamba huko kwenu kuna njaa iliojificha. Utapiamlo umetamalaki.
Usisahau watoto kula kinyesi
 
Tanzania ya pili Africa kwa mifugo mingi kwa hiyo maziwa sio shida tena yapo mpaka yanamwagwa ila inatofaitiana na jamii sababu ya makabila mengi Tanzania kila jamii na utamaduni wake kuna jamii wao samaki tu ndio chakula kwao, wengine wao nyama tu, wengine nafaka nk

Huko usukumani watoto wanaogeshwa na maziwa au kunawa mikono na maziwa, wengine wamasonga ugali na maziwa, Kenya jangwani huko maziwa ni kwa baadhi ya maeneo hata kama mnaongoza kwa processed milk lakini maziwa ya Watanzania yanatumika kienyeji sana bila takwimu.
 
Source: Kibera fm
 
Nani mwenye akili timamu aiweke Nairobi kuwa Head_office??
Tena kati ya nchi ambazo zimewasilisha bid ya kuwa makao makuu Kenya ina chance kubwa zaidi ya kufanikiwa. Kenya ni makao makuu ya mashirika mengi sana. Km. UNEP. >>>https://www.businessdailyafrica.com...dquarters/3946234-5168780-11nco11z/index.html Nchi ambazo zime'bid' kuwa makao makuu ya AfTCA(nchi 53/55 za Afrika) ni Kenya, Ghana, Ethiopia, Senegal, Egypt, Madagascar na Swaziland. Acha longolongo zako, Tanzania haija'bid' kuwa makao makuu na wala haipo kwenye mkataba wa AfCFTA.
 
Umamaishaji mtupu!! Tunataka kujua aina ya bidhaa zitakazoingia kwenye soko moja la Africa!!
Hii mikataba inalenga kudhibiti soko la madini kwa manufaa ya watu wachache sana.
Km unavyofanya siri bidhaa na mikataba itakuwa siri ya mawaziri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…