Nigeria yaacha kununa, ipo tayari kujiunga na Waafrika wengine, pia Kiswahili chateuliwa kama lugha rasmi ya Afrika

Nigeria yaacha kununa, ipo tayari kujiunga na Waafrika wengine, pia Kiswahili chateuliwa kama lugha rasmi ya Afrika

😀 😀 😀 Watoto wenu ni Wazungu wanaotoroka na Dhahabu na Tanzanite??? CCM na viongozi wengine wamekuwa wakihepa na madini yenu tangu enzi za huyo Nyerere labda uwe kichwa maji kutoweza kuelewa hayo.
Viongozi wa Tanzania sio corrupt kama kwenu, acha kutuambukiza ugonjwa wenu.
 
Hahaha

Kazi ipo

Hivi Unajua kisa cha Baba wa taifa la Tanzania kutofautiana kabisa na Kenyatta jambo moja kubwa ilikuwa ni baada ya Kenyatta kukataa kata katu kuunganisha Kenya na Tanzania na nchi nyingine ziwe nchi moja?

Na inawapasa kati ya mambo ambayo mnatakiwa mumchukie Kenyatta ni kukataa hii offer ya Nyerere na kati ya mambo Watanzania tunapaswa kumkosoa Nyerere ni kufikiria hili suala (sio baya lakini ni kwa wrong people)

Fikiria saivi kungekuwa hakuna tofauti kati ya mkazi wa Turkana jangwani mle na mkazi wa Morogoro peponi, yaani mtu kutoka Wajiir angeweza kwenda Chunya kuanzisha mgodi wake wa madini ya dhahabu kama waunguja wanavyotoka unguja na kumiliki biashara na utajiri Kigoma.


Nyerere dhamira yake ilikuwa safi kabisa tena alimuambia Kenyatta mimi nipo tayari hata kesho wewe uwe Rais kabisa wa hiyo unified political federation lakini Mungu alivyo waajabu na alikua akituwazia watamzania mema aliweka moyo mgumu kwa Kenyatta

Na hivyo hivyo Nyerere alitaka kwa Uganda, Burundi, Rwanda, Zambia, Zimbabwe mpaka South Africa in fact SADC ya kwanza kabisa iliundwa Tanzania japo ile ilikuwa ni SADC ya kijeshi au ukombozi wa nchi za kusini, target ikiwa kuja kuunda dola moja ndio maana Nyerere alijitoa kwa vyote, then baadae ndio ikawa economic oriented SADC lakini ni wazo la Nyerere kabisa

Sasa kati ya Kenya na Tanzania nani mwenye uhalali wa kumuita mwenzake alikumbatia mipaka ya kikoloni? Na ya heri ukumbatie mipaka ya ukoloni kuliko kukumbatia mipaka ya ukabila sababu hapo unafanya akili ya mkoloni iwe bora yako mara million.

Kuhusu ugunduzi wa gas madini, vyote hivi viligunduliwa na Nyerere miaka ya 60 huko, kitu Nyerere Alisema ni kwamba "hizi rasilimali za ardhini ziachwe hivi hivi mpaka watoto wetu watakapopata maarifa na uwezo wa kuvitumia wenyewe kwa manufaa"

Na kwa kipindi chote Nyerere alivyokuwa hai hakukuwa na company yoyote ya kigeni ya uchimbaji wa kitu chochote Tanzania bali baada ya Nyerere kufa tu ndio huo mwiko ulivunjwa, kwa hiyo kusema tulikuwa tukipanda mihogo tukose kujua kilichomo chini inaonesha ni jinsi gani unavyokurupuka, pale Dodoma ipo maktaba kubwa kuliko zote Africa ya geological arrangements za Tanzania na pale University of Dar es salaam tokea enzi ya mjerumani 18000s mpaka leo kwa hiyo kila kitu kilijulikana kilipo kila eneo.

Kama alivyopinga Kenyatta hilo la kuwa na dola/serikali moja, hata mimi nalipinga leo hii, haya mataifa tuko tofauti kabisa, kimtazamo, kimalengo, Mtanzania na Mkenya tuko tofauti kwa kila hatua, nimeishi Tanzania kwa muda mrefu hivyo najua ninachokisema.
Ingekua rahisi kutuunganisha kwa miaka ya zamani hata kabla ya uhuru, enzi zile Waafrika walikua bikira kimtazamo na kimawazo. Lakini baada ya mifumo ya kikoloni ya kiutawala, kila mmoja akawa na mtazamo tofauti. Kwa jinsi Mkenya alivyo mshindani, mwenye kuhoji kila kitu na kila hatua, kumuweka aishi na Mtanzania ambaye yeye amezoea kuendeshwa endeshwa, kwamba yupo yupo tu, kila kitu kwake shwari, utakua unawavuruga na ndio maana likija suala la kufunguliana, kwa Afrika yote Tanzania huwa anaogopa sana Mkenya. Mfumo wa ujamaa wa Nyerere uliwalemaza Watanzania.

Suala la muungano ambao tunaujadili humu, sio kwamba tunataka tuungane tuwe nchi moja chini ya serikali moja, la hasha, haliwezekani na baadhi yetu tutalikatalia mbali, tunachokitaka ni kuwa na soko la pamoja, kwamba Mkenya anaweza akauza matikiti yake Misri bila kupitia urasimu wa kiajabu ajabu.
Leo hii watu tumewekeana mipaka yaani hata gunia la mihogo kuvuka nalo mpakani unavurugwa utadhani ueiba benki kuu na kuhujumu uchumi. Hili nilishangaa lipo hata baina ya Tanganyika na Zanzibar, pale kuvusha chochote unalipia kodi na ukaguzi wa ajabu ilhali ni nchi moja chini ya Jamhuri moja.

Kuhusu ugunduzi wa gesi, Nyerere hakugundua chochote, yeye alijua vipo lakini hakua na uwezo huo wa kitaalam, ndio akafanya busara ya kusubiri mpate elimu, lakini la kushangaza miaka yote hiyo imepita, mumepelekwa vyuoni lakini mumeganda, hamna tofauti ya Mtanzania wa leo na yule wa enzi zile, imebidi mjukuu wa mbeberu aje aigundue hiyo gesi, akawaandikia mkataba wa kisanii nyie wajukuu wa Nyerere na kuanza kuchuma na kuipeleka kwao. Hicho hicho alichokua anazuia babu yenu akisubiri wajukuu waelimike, ndicho kinaliwa na wajukuu wa mbeberu na kuwaacha wajukuu wa Nyerere kuwa maskini wa kutupwa.
 
😀 😀 😀 Watoto wenu ni Wazungu wanaotoroka na Dhahabu na Tanzanite??? CCM na viongozi wengine wamekuwa wakihepa na madini yenu tangu enzi za huyo Nyerere labda uwe kichwa maji kutoweza kuelewa hayo.
Sijakataa kuwepo na flaws kubwa kubwa huko nyuma lakini sasa ni history baada ya reforms and ammendments kwenye sheria na mikataba ya madini Tanzania

Hata saivi mtu anayeiba anatumia akili mara million tofauti na zamani mtu anaiba mchana kweupe, Ni juzi serikali imetaifisha madini na mali za wezi yenye thamani zaidi ya billion 20 na tumeona makusanyo ya kodi yamepanda kutoka billion 200 mpaka 360 kwa kipindi kifupi

Pamoja na hayo yote bado Tanzania ina rasilimali za madini nyingi sana na takwimu zinaonesha ni chini ya 15% tu ya madini yote yaliyopo Tanzania ndio yamechimbwa. Uchimbaji wa madini seriously umeanza 1990s ni juzi tu.

Serikali saivi inafuta leseni kwa wachimbaji wakubwa ambao walimiliki maeneo Makubwa yenye madini na kuwapa wachimbaji wadogo Watanzania na hili ni jana limetokea Rais wenu akishuhudia. Serikali imeachana na wageni saivi kipaumbele ni kwa Watanzania.
 
Viongozi wa Tanzania sio corrupt kama kwenu, acha kutuambukiza ugonjwa wenu.
Mbona madini yanapotea kila uchao na mbona Nchi yenyewe ni among 25 most poorest countries int the Milky way galaxy...yani mko Nambari 169 Kati ya 195. LDC karne ya 21 hata aibu hamna na usisahau Somalia na South Sudan wamo kwenye hicho kikundi.

Nyang'au (failed State) akikohoa mnaitika Mara moja.
 
Mbona madini yanapotea kila uchao na mbona Nchi yenyewe ni among 25 most poorest countries int the Milky way galaxy...yani mko Nambari 169 Kati ya 195. LDC karne ya 21 hata aibu hamna na usisahau Somalia na South Sudan wamo kwenye hicho kikundi.

Nyang'au (failed State) akikohoa mnaitika Mara moja.
Madini yanaibiwa na wezi sio viongozi kama huko kwenu. Hivi ninyi akili zenu wakenya zimedumaa kwa njaa?
1) Tanzania is among top ten countries in Africa with big economies.
2) Tanzania is number 8 just next to Kenya with big Economy in Africa
3) Tanzania is number 3 in SADC countries, just next to Angola.
4)Tanzania is among top 5 fastesting growing in Africa, and among 15 countries in the world, Kenya haipo katika hizi nchi.

Endeleeni kukariri, sisi tunaendelea kuwapiga matobo.
 
Kama alivyopinga Kenyatta hilo la kuwa na dola/serikali moja, hata mimi nalipinga leo hii, haya mataifa tuko tofauti kabisa, kimtazamo, kimalengo, Mtanzania na Mkenya tuko tofauti kwa kila hatua, nimeishi Tanzania kwa muda mrefu hivyo najua ninachokisema.
Ingekua rahisi kutuunganisha kwa miaka ya zamani hata kabla ya uhuru, enzi zile Waafrika walikua bikira kimtazamo na kimawazo. Lakini baada ya mifumo ya kikoloni ya kiutawala, kila mmoja akawa na mtazamo tofauti. Kwa jinsi Mkenya alivyo mshindani, mwenye kuhoji kila kitu na kila hatua, kumuweka aishi na Mtanzania ambaye yeye amezoea kuendeshwa endeshwa, kwamba yupo yupo tu, kila kitu kwake shwari, utakua unawavuruga na ndio maana likija suala la kufunguliana, kwa Afrika yote Tanzania huwa anaogopa sana Mkenya. Mfumo wa ujamaa wa Nyerere uliwalemaza Watanzania.

Suala la muungano ambao tunaujadili humu, sio kwamba tunataka tuungane tuwe nchi moja chini ya serikali moja, la hasha, haliwezekani na baadhi yetu tutalikatalia mbali, tunachokitaka ni kuwa na soko la pamoja, kwamba Mkenya anaweza akauza matikiti yake Misri bila kupitia urasimu wa kiajabu ajabu.
Leo hii watu tumewekeana mipaka yaani hata gunia la mihogo kuvuka nalo mpakani unavurugwa utadhani ueiba benki kuu na kuhujumu uchumi. Hili nilishangaa lipo hata baina ya Tanganyika na Zanzibar, pale kuvusha chochote unalipia kodi na ukaguzi wa ajabu ilhali ni nchi moja chini ya Jamhuri moja.

Kuhusu ugunduzi wa gesi, Nyerere hakugundua chochote, yeye alijua vipo lakini hakua na uwezo huo wa kitaalam, ndio akafanya busara ya kusubiri mpate elimu, lakini la kushangaza miaka yote hiyo imepita, mumepelekwa vyuoni lakini mumeganda, hamna tofauti ya Mtanzania wa leo na yule wa enzi zile, imebidi mjukuu wa mbeberu aje aigundue hiyo gesi, akawaandikia mkataba wa kisanii nyie wajukuu wa Nyerere na kuanza kuchuma na kuipeleka kwao. Hicho hicho alichokua anazuia babu yenu akisubiri wajukuu waelimike, ndicho kinaliwa na wajukuu wa mbeberu na kuwaacha wajukuu wa Nyerere kuwa maskini wa kutupwa.
Juu ya muungano kati ya Tanzania na Kenya hiyo ni "sizitaki mbichi hizi"

Kuhusu ugunduzi wa gas na Nyerere
20190706_083444png.png


Nyerere alikua Rais nchi hii kuanzia Uhuru mpaka 1985, ugunduzi gas songosongo ni 1974, kwanini unajiaibisha.

Tatizo kubwa la Wakenya niliokaa nao ni hii much know, yaani wao wanajifanyaga huwa wanajua kila kitu hata mambo ya ndani kwako huwa wanayajua kukuzidi unayoyaishi, sasa weye kijana mdogo kwenye Tanzania hii utanifundisha kipi mimi?
 
Madini yanaibiwa na wezi sio viongozi kama huko kwenu. Hivi ninyi akili zenu wakenya zimedumaa kwa njaa?
1) Tanzania is among top ten countries in Africa with big economies.
2) Tanzania is number 8 just next to Kenya with big Economy in Africa
3) Tanzania is number 3 in SADC countries, just next to Angola.
4)Tanzania is among top 5 fastesting growing in Africa, and among 15 countries in the world, Kenya haipo katika hizi nchi.

Endeleeni kukariri, sisi tunaendelea kuwapiga matobo.

Madini yanaibiwa na wezi sio viongozi kama huko kwenu. Hivi ninyi akili zenu wakenya zimedumaa kwa njaa?
1) Tanzania is among top ten countries in Africa with big economies.
Angalia tofauti yenu na hao top 10, clearly visible.
2) Tanzania is number 8 just next to Kenya with big Economy in Africa
Angalia Tena tofauti Kati ya Kenya na Tz. We are twice your economy.
3) Tanzania is number 3 in SADC countries, just next to Angola.
Angalia Tena tofauti Kati yenu na Angola, they nearly twice your economy and have been in a cival war for more than 30 years...sikia aibu kidogo afu pia Hio SADC hamko namba 3. Kuna SA, Namibia, Botswana, Angola na Zimbabwe.
4)Tanzania is among top 5 fastesting growing in Africa, and among 15 countries in the world, Kenya haipo katika hizi nchi.
Hapa hata wewe unajua ni uongo...4.2% growth haifiki ya Kenya.

Endeleeni kukariri, sisi tunaendelea kuwapiga matobo.
Endelea kukariri za vijiweni.
 
Madini yanaibiwa na wezi sio viongozi kama huko kwenu. Hivi ninyi akili zenu wakenya zimedumaa kwa njaa?
1) Tanzania is among top ten countries in Africa with big economies.
2) Tanzania is number 8 just next to Kenya with big Economy in Africa
3) Tanzania is number 3 in SADC countries, just next to Angola.
4)Tanzania is among top 5 fastesting growing in Africa, and among 15 countries in the world, Kenya haipo katika hizi nchi.

Endeleeni kukariri, sisi tunaendelea kuwapiga matobo.
Pamoja na hayo yote bado taifa hili ni virgin kabisa kwa utitiri wa rasilimali zake na ina viongozi na sheria madhubuti kabisa katika kuisimamia rasilimali hizi tofauti na Kenya ambayo haina chochote for the long run ni kujichosha tu kujilinganisha na Tanzania

Ni sawa mtu mwenye million 10 cash na kwenye account ana million 40 kumcheka mwenye million 8 cash lakini kwenye account yake ana trillion 100
 
Wakenya wanatuonea gere tu
Kila kitu Tanzania,kwani hamuwezi kusaini hiyo mikataba?
Sie tulibaki nyuma kwa ajili ya kuwakonboa wenzetu,kwa sasa tunafungua uchumi wetu,mtuache kidogo tukiwa tayari tutakuja tu hakuna namna
Ila ardhi noooooo
 
Madini yanaibiwa na wezi sio viongozi kama huko kwenu. Hivi ninyi akili zenu wakenya zimedumaa kwa njaa?
1) Tanzania is among top ten countries in Africa with big economies.
2) Tanzania is number 8 just next to Kenya with big Economy in Africa
3) Tanzania is number 3 in SADC countries, just next to Angola.
4)Tanzania is among top 5 fastesting growing in Africa, and among 15 countries in the world, Kenya haipo katika hizi nchi.

Endeleeni kukariri, sisi tunaendelea kuwapiga matobo.
If 4% is the fastest growing economy then what should we call 6%?
 
Juu ya muungano kati ya Tanzania na Kenya hiyo ni "sizitaki mbichi hizi"

Kuhusu ugunduzi wa gas na Nyerere View attachment 1147790

Nyerere alikua Rais nchi hii kuanzia Uhuru mpaka 1985, ugunduzi gas songosongo ni 1974, kwanini unajiaibisha.

Tatizo kubwa la Wakenya niliokaa nao ni hii much know, yaani wao wanajifanyaga huwa wanajua kila kitu hata mambo ya ndani kwako huwa wanayajua kukuzidi unayoyaishi, sasa weye kijana mdogo kwenye Tanzania hii utanifundisha kipi mimi?

Hapo huo mstari ungechora kuanzia neno 'matumaini ya ugunduzi', ila kwa ajili unataka kuaminisha kiusanii, ndio imekubidi ujifanye hujaona neno 'matumaini'.
La kuungana Wakenya na Watanzania kama taifa moja, sio kitu hata cha kujadiliwa. Chukulia kwa mfano suala la katiba, leo hii Kenya ipo chini ya uongozi wa katiba mpya, ambayo tuliandika wenyewe tena bora kuzidi zote ukanda huu, tulifaulu kuandika maana sisi ni watu wa kuthubutu, watu wa kuhoji, watu wa kujituma... Lakini Watanzania kwa jinsi mlivyo watu wa mdebwedo, mlijaribu kuandika katiba mpya mkaangukia pua na kunyamazishwa na hakuna hata matumaini ya kama kweli ipo siku mtaiandika na kuondokana na hii ya leo ya mkoloni ambayo imefanya nchi muishi bila kueleweka.

Nchi yenu mumekaliwa nilishangaa sana hata polisi wanahusika kwenye vikao vya chama cha CCM na wanashabikia humo kama wanachama wengine tu, yaani tuungane na mtegemee Wakenya wavumilie uchafu kama huo bila kuhoji...hehehe nyie hebu acheni mzaha. Tuungane kibiashara, tufunguliane kiasi kwamba leo nikitaka nije kahama niagize magunia ya mchele nakuja kuyauza hapa bila urasimu wa kunikwamisha, tupige biashara lakini kila mtu adumishe tamaduni zake na mitazamo yake.
Hii video hapa ilinishangaza sana

https://www.jamiiforums.com/data/video/1051/1051539-05de55cb2d1da01c8086c2a9b72a2240.mp4
 
Kuna vitu vingi sana ambavyo vinaagizwa kutoka nje ya Afrika, wakati vipo kwa wingi sana kwenye bara hili. Itakuwa ni uongo ukikana kwamba hujaona bidhaa za kigeni kwenye maduka mbali mbali. Huu mkataba wa AfCFTA utarudisha balance, kwa mfano maziwa kutoka viwanda vya Kenya yatapata soko Afrika magharibi. Sidhani ushirikiano wa nchi 50 za Afrika ni jambo la kupuuzilia virahisi.
Mkuu acha kujibaraguza! Taja hizo bidhaa zaidi ya maziwa!!!
Mnasema bidhaa zipo nyingi halafu unaishia kutaja maziwa tu!!?
 
Kechekesho kikubwa sana, juzi ripoti ya Human right imeonyesha kwamba bado polisi wa Kenya wanaongoza Africa kwa mauaji ya kiholela ya RAIA, vipi mtu anamshangaa POLISI kuhudhuria mkutano wa Chama badala ya kushangaa roho za raia wasio na hatia?.

Hivi Kenya inapata wapi nguvu za kusema nchi nyingine wakati waandamanaji wanauliwa hadharani kipindi cha uchaguzi na hakuna hatua zozote zinazochukuliwa?.

Hivi ni nchi gani itakubali kuungana na nchi iliyojaa Ukabila, rushwa, insecurity, hunger, terrorism and nepotism?, kama wenyewe kwa wenyewe hampatani, mtawezaje kupata na nchi zingine?, kama South Africa hata kywaondolea visa ilikataa, vipi mtaishawishi waungane na ninyi.

Hata hiyo biashara mnayilazimisha mpaka Uhuru Kenyatta anapiga Simu Mara mbili mbili kubembeleza kwenda Chato, pia hatupendi kufanya na ninyi, tatizo mnalazimisha na kujikomba kwetu hadi ni kero. Tumechoma vifaranga na kutaifisha Ng' ombe zenu kama dalili ya kuwafukuza lakini bado mnaendelea kutufuata, hatuwataki.
 
Ebu leta hiyo ripoti tuone, nimegindua huwa unaongea rumours sana.
Kechekesho kikubwa sana, juzi ripoti ya Human right imeonyesha kwamba bado polisi wa Kenya wanaongoza Africa kwa mauaji ya kiholela ya RAIA, vipi mtu anamshangaa POLISI kuhudhuria mkutano wa Chama badala ya kushangaa roho za raia wasio na hatia?.

Hivi Kenya inapata wapi nguvu za kusema nchi nyingine wakati waandamanaji wanauliwa hadharani kipindi cha uchaguzi na hakuna hatua zozote zinazochukuliwa?.

Hivi ni nchi gani itakubali kuungana na nchi iliyojaa Ukabila, rushwa, insecurity, hunger, terrorism and nepotism?, kama wenyewe kwa wenyewe hampatani, mtawezaje kupata na nchi zingine?, kama South Africa hata kywaondolea visa ilikataa, vipi mtaishawishi waungane na ninyi.

Hata hiyo biashara mnayilazimisha mpaka Uhuru Kenyatta anapiga Simu Mara mbili mbili kubembeleza kwenda Chato, pia hatupendi kufanya na ninyi, tatizo mnalazimisha na kujikomba kwetu hadi ni kero. Tumechoma vifaranga na kutaifisha Ng' ombe zenu kama dalili ya kuwafukuza lakini bado mnaendelea kutufuata, hatuwataki.
 
Hata sisi pia hatuwezikubali kushirikiana na wachawi, nchi maskini zaidi EA, nchi lazy zaidi in Africa na nchi ya elimu duni.
Kechekesho kikubwa sana, juzi ripoti ya Human right imeonyesha kwamba bado polisi wa Kenya wanaongoza Africa kwa mauaji ya kiholela ya RAIA, vipi mtu anamshangaa POLISI kuhudhuria mkutano wa Chama badala ya kushangaa roho za raia wasio na hatia?.

Hivi Kenya inapata wapi nguvu za kusema nchi nyingine wakati waandamanaji wanauliwa hadharani kipindi cha uchaguzi na hakuna hatua zozote zinazochukuliwa?.

Hivi ni nchi gani itakubali kuungana na nchi iliyojaa Ukabila, rushwa, insecurity, hunger, terrorism and nepotism?, kama wenyewe kwa wenyewe hampatani, mtawezaje kupata na nchi zingine?, kama South Africa hata kywaondolea visa ilikataa, vipi mtaishawishi waungane na ninyi.

Hata hiyo biashara mnayilazimisha mpaka Uhuru Kenyatta anapiga Simu Mara mbili mbili kubembeleza kwenda Chato, pia hatupendi kufanya na ninyi, tatizo mnalazimisha na kujikomba kwetu hadi ni kero. Tumechoma vifaranga na kutaifisha Ng' ombe zenu kama dalili ya kuwafukuza lakini bado mnaendelea kutufuata, hatuwataki.
 
Kechekesho kikubwa sana, juzi ripoti ya Human right imeonyesha kwamba bado polisi wa Kenya wanaongoza Africa kwa mauaji ya kiholela ya RAIA, vipi mtu anamshangaa POLISI kuhudhuria mkutano wa Chama badala ya kushangaa roho za raia wasio na hatia?.

Hivi Kenya inapata wapi nguvu za kusema nchi nyingine wakati waandamanaji wanauliwa hadharani kipindi cha uchaguzi na hakuna hatua zozote zinazochukuliwa?.

Hivi ni nchi gani itakubali kuungana na nchi iliyojaa Ukabila, rushwa, insecurity, hunger, terrorism and nepotism?, kama wenyewe kwa wenyewe hampatani, mtawezaje kupata na nchi zingine?, kama South Africa hata kywaondolea visa ilikataa, vipi mtaishawishi waungane na ninyi.

Hata hiyo biashara mnayilazimisha mpaka Uhuru Kenyatta anapiga Simu Mara mbili mbili kubembeleza kwenda Chato, pia hatupendi kufanya na ninyi, tatizo mnalazimisha na kujikomba kwetu hadi ni kero. Tumechoma vifaranga na kutaifisha Ng' ombe zenu kama dalili ya kuwafukuza lakini bado mnaendelea kutufuata, hatuwataki.
Nyinyi mbona mlifukuzwa uko South Africa? I thought you were bragging here how you liberated them from the colonial York, how comes they don't want to associate with you?
 
Ati mtu Yuko anakuwa Trained na mutu ya Kenya Yuko anaongea kwaaje hicho kiswahili?
 
Nyinyi mbona mlifukuzwa uko South Africa? I thought you were bragging here how you liberated them from the colonial York, how comes they don't want to associate with you?
South Africa is our baby, without Tanzania there is no South Africa. Sasa wewe unachukulia vitendo vya wapumbavu kama Jaguar wenye mawazo ya Xenophobia na mahusiano ya nchi kwa nchi. Sisi tunaingia South Africa kama tunavyoingia chooni.
 
Nataka tukubaliane, mlifukuzwa South Africa ama hamkufukuzwa?
Watanzania waliuwawa South Africa ama hawakuwawa? As I said earlier, nobody wants to associate with sorcerers and albino eaters.
South Africa is our baby, without Tanzania there is no South Africa. Sasa wewe unachukulia vitendo vya wapumbavu kama Jaguar wenye mawazo ya Xenophobia na mahusiano ya nchi kwa nchi. Sisi tunaingia South Africa kama tunavyoingia chooni.
 
Back
Top Bottom