Sangaliagi story za action mimi,hizo movies za watoto wadogo mkuu,leta horror kama wanazo sasa hvAnza na hizo nlzokuwekea hapo ndo uje utoe majbu yaan hapo Kuna Kila ktu stor ,action drama , crime yaan n noma
Hiyo karishika ni noma[emoji119] niliangalia wakati nipo darasa la kwanza, tena usiku aisee nilikoma sikuhiyo siji sahau[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani unaangalia huku una remote mkononiHapo sasa..zamani nilikua nawapenda ila siku hz unaangalia kwa mashaka
[emoji1][emoji1][emoji1]Si tulikuwa tunaenda kwa jirani usiku kuangalia,aseee ilikuwa ni hatari,ni full kuweweseka tuu
Sangaliagi story za horror mimi, hizo movies za watoto wadogo mkuu,leta action na crime kama wanazo Sasa hvSangaliagi story za action mimi,hizo movies za watoto wadogo mkuu,leta horror kama wanazo sasa hv
NetflixMnaziangalizia Netflix? Au YouTube?
Qwinini ww ,panadonina[emoji38][emoji38][emoji38]hebu nitukane mimi,nataka nikamtukane mtu naona matusi yameniishia hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi ndio kama za wabongo tu ila nachoona tofauti ni wanazungumza kiingereza na majumba yaliyojaa pazia.Sema wanaija sku hzi,ni kama bongo movies tu,walikuwepo wamba zamani aseee....movies kama 666,the witches,karishika,movies za mwamba ramsey noah,geneviev nnaji,omotolah jalade,aseee hawa jamaa ni noma sana
Umeona brother eehKwa Nigeria
1.Blood sisters
2.Shanty Town
3.King of Boys
4.Naija Christmass
5.The Governor
Kwa Sauz kuna;
1.Gangs of Jo'burg
2.Shadow
3.Queen Sono
4.Beuty Savage
Zote hizo ni kali na zote zipo Netflix
Hiyo far from home ni tamu sana sana aiseeBinafsi kuanzia Sasa n shabik nambar uno wa muvi na series za kinaija
Hawa jamaa wanajua na wanakuja kwa Kasi ya ajabu
Kimzki wametushinda hata muvi pia wametushinda
Ukitaka kuamin maneno yangu tafuta hizi baadh tu
Gangs of Lagos
Hey you
Far from home
Shanty town
NB. Ukicomment ushuzi nakutukana tusi jipya
Umeicheki eehHiyo far from home ni tamu sana sana aisee
Yeah kakaUmeicheki eeh
PamojaYeah kaka
Hahahaniliangalia movie ya CRY FOR HELP mwaka 2004 mpaka leo inanisumbua kichwa..
achilia mbali DECEIVER, fake pastor na KARISHIKA.
Wapopo ni hatari
Sema wanaija sku hzi,ni kama bongo movies tu,walikuwepo wamba zamani aseee....movies kama 666,the witches,karishika,movies za mwamba ramsey noah,geneviev nnaji,omotolah jalade,aseee hawa jamaa ni noma sana
Kitambo sanaaMmmh hiyo karishika umenikumbusha mbali
Mkuu umecheki 'Unseen' ya sauz? Kama bado itafute ni series tamuPamoja