Night Clubs kufa sio kwa Tanzania tu, Dunia nzima night club culture inakufa kwa sababu kizazi Z hakipendi Clubs

Kizazi 'Z' ndiyo aina gani ya binadamu?
 
Mimi wa kazulamimba nielewesheni tofauti ya Lounge na Club wakuu
Naweza nisiwe sahihi pia mkuu;

Lounge - zipo kwa ajili ya casual gatherings, meetings za kibiashara, mazungumzo ya karibu, yaani mnalewa kistaarabu, mziki laini n.k japo wabongo lounge tuna maana yetu tofauti zinapigwa amapiano mtapoteana na hizo business meetings zenu.

Club - ni kwa ajili ya loud music, kucheza, let loose, kujiachia, unajisahau for a day kesho wakusimulie ulivoleta mabalaa

Haya ni mawazo yangu mkuu sina uelewa sana naweza kuwa siko sahihi pia
 
Ulivyoandika nimecheka mkuu dah 🤣🤣
 
Hewaaaa na miziki yetu ya zilipendwa
Taratibu na konyagi Pembeni
 
Hewaaaa na miziki yetu ya zilipendwa
Taratibu na konyagi Pembeni
Hivi konyagi OG zinapatikana wapi, nilikuta watu wana sample Hennessy.

Kuna ulazima viwanda vya pombe kali kufungua authorized dealers au maduka yao maalumu, sticker za TRA hazitoshi.
 
kizazi antisocial sana.......muda mwingi kwenye screen
 
Kila Zama na Kitabu Chake....

To each their Own....
 
Hivi konyagi OG zinapatikana wapi, nilikuta watu wana sample Hennessy.

Kuna ulazima viwanda vya pombe kali kufungua authorized dealers au maduka yao maalumu, sticker za TRA hazitoshi.
Mkuu fake zimekuwa nyingi sana na ukiwa mzee wa kufakamia kila chimbo utakunywa konyagi za kina
Massawe walizotengeneza uchochoroni
 
Duuh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…