and 100 others
JF-Expert Member
- Feb 3, 2023
- 3,707
- 12,367
Dah! Wazee punguzeni fujo boyfriend yake Tatiana kapotea 🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Demu siku zote anakuwa wako pale tu unapokuwa naye kimwili, anapokuwa mbali nawe siyo wako tena, yaani ni kama noti au sarafu.Utamla wewe tena sio mleta mada? Hahaha unataka nini lakini kusema hivyo unataka aandae kitanzi?
Ila jamaa anaonekana ni mkongwe humu, join 2016... Sasa sijui inatokeaje anakua simp..Muda mwalimu mzuri sana muda una majibu mengi sana ndani ya muda huwezi kuurudisha muda ukishaenda umeenda
Inabidi ajiandae kisaikolojia...Demu siku zote anakuwa wako pale tu unapokuwa naye kimwili, anapokuwa mbali nawe siyo wako tena, yaani ni kama noti au sarafu.
Ajifunze hili.
Kabisa mkuu.Inabidi ajiandae kisaikolojia...
Muda wowote tukio linatokea...
The woman I love na anajua sina Shaka nae popote alipo kamwe hawezi Fanya ujingaInabidi ajiandae kisaikolojia...
Muda wowote tukio linatokea...
Mie mkongwe toka enzi ya jambo forum na Niko nae 7 years now lazima nimueleze hadharaniIla jamaa anaonekana ni mkongwe humu, join 2016... Sasa sijui inatokeaje anakua simp..
Sio huyu wangu naemjua sasaDemu siku zote anakuwa wako pale tu unapokuwa naye kimwili, anapokuwa mbali nawe siyo wako tena, yaani ni kama noti au sarafu.
Ajifunze hili.
Hahaha ukiwa nae mfuko ni wa kwako ukiwa nae mbali sio wa kwako ni wa wenzako, hili somo pana sana hiliDemu siku zote anakuwa wako pale tu unapokuwa naye kimwili, anapokuwa mbali nawe siyo wako tena, yaani ni kama noti au sarafu.
Ajifunze hili.
Ni member yupo humu?Mie mkongwe toka enzi ya jambo forum na Niko nae 7 years now lazima nimueleze hadharani
Babu ukongwe sio suluhisho na kithibitisho au tuseme kidhibitishoMie mkongwe toka enzi ya jambo forum na Niko nae 7 years now lazima nimueleze hadharani
Humjui TATIANA huyu wa kuvurugwa? Halafu jamaa huyu ni wa 3 km sio wa 4 anamwandikaNi member yupo humu?
Ukongwe sio kigezo lakini hayanaga ukongwe, sorry for your replyIla jamaa anaonekana ni mkongwe humu, join 2016... Sasa sijui inatokeaje anakua simp..
Nampenda kweli sio utani na hata yeye anafahamu nampendaWatu wanaumia wenzao wakipendanaa muache ajimalize kama m2 anampemda na kumuamini
Hawataki apendwe sijui shida nini, Mie nampenda mno hata yeye anafahamuWanaume, hamtaki mwanamke apendwe?
Ngoja nimzamie pm..Humjui TATIANA huyu wa kuvurugwa? Halafu jamaa huyu ni wa 3 km sio wa 4 anamwandika
Alishakupa mzigo lakini?Hawataki apendwe sijui shida nini, Mie nampenda mno hata yeye anafahamu