Nihudhurie usaili upi kati ya hizi mbili?

Nihudhurie usaili upi kati ya hizi mbili?

Status
Not open for further replies.
Kyagata ni mweupe kichwani na mwenye wivu na husda! Namwombea apate ajira hapo NAOT ili apunguze makasiriko na wivu
Huenda wewe ni mke wangu,maana mpaka umejua kuwa nina wivu while hatujuani,basi huenda ni mke wangu ninaelala na wewe kitanda kimoja..
Anyway,Sawa mke wangu nimekuelewa,nitapunguza wivu juu yako ili uache kunitangaza huku jf.
 
Ila Mkuu si ulishapataga kazi TRA? what happened?


Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
 
Ila Mkuu si ulishapataga kazi TRA? what happened?


Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Haàhaaaaaa JamiiForums kiboko
 
Weka ulokole pembeni katafute mganga ambaye ni mchawi haswa hapo shinyanga alafu ukitoka huko nenda kwenye hiyo interview ya UDOM
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom