Niichukie ipi kati ya Mercedes-Benz C 220 Na BMW M3

Nazjaz

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2011
Posts
7,730
Reaction score
9,088
Naamini hapa JamiiForums kuna wataalam wa magari Na wabobezi mlio bobea. Niko UK kwa Malkia Na nimehitimu vyema masomo yangu.

Nataka kurudi January nchini Na nataka nirudi Na Usafiri wangu wa kunimuvusisha from point A to B. Je nichukue gari gani kati ya Mercedes Benz C 200 Na BMW M3 3series?
Ipi ni nzuri kwa barabara zetu za uswahilini, fuel consumption, availability ya spares Na durability. Bila kusahau swagga Na mtama nikiwa na cruise
Natanguliza shukrani zangu za dhati.
 
Kwa yoyote utakayochagua tafuta gari ya diesel..
 


Ni gari mbili tofauti, BMW M ni tofauti na C class, ungetaka labda ungeuliza kati ya C class na BMW 3 series, lkn BMW M ni version ya sports car ya BMW kama vile Mercedes AMG, au Audi R!

Labda ungeuliza kati ya C AMG na BMW M 3 series!
 
Ni gari mbili tofauti, BMW M ni tofauti na C class, ungetaka labda ungeuliza kati ya C class na BMW 3 series, lkn BMW M ni version ya sports car ya BMW kama vile Mercedes AMG, au Audi R!

Labda ungeuliza kati ya C AMG na BMW M 3 series!
Sijauliza tofauti, nimeuliza ipi nzuri zaidi kwa Tz?
 
Usafiri binafsi au unataka kufanya biashara ya taxi?
 
BMW spare zinapatikana kwa wingi na kwa wakati sahihi pia itaweza kuhimili mikiki ya apa mjini
 
Mercedes M 200 naona inafaa zaidi kwa maana ya uimara na ukubwa wa engine ni cc 2000 tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…