Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaume hua hawatukani hivi unajishushia hadhi ya kiume uliyonayo,haya mambo tuachie sie,,kwani tatizo liko wapi hapo ye kumpendelea mpenzi wake?
Halafu mleta mada rekebisha heading isomeke nataka kuwa mshiriki kutoka Tanzania na siyo muwakilishi.
Watanzania hatuwezi kuwakilishwa kwenye upumbavu huo so called BBA.
Hahahaha umenifurahisha wap nimerembua macho? Pozi za kulegeza shingo ina ubaya gani?
Hivo unavyoona kwenye picha ni kawaida ndivyo nilivyo.
Naheshimu mawazo yako na wengine nilishasema niko tayari kwa lolote
View attachment 139021
Nimepokea maombi mengi niwawakilishe big brother mwaka huu kutoka kwa wadau muhimu,wanaona na vigezo vyote
Mimi uwa ni muongeaji sana na mcheshi pia niko cool.
Sijui mnasemaje wadau, niko tayari kwa komenti zozote.
![]()
![]()
![]()
![]()
Msiwakilishwe mara ngapi sasa mbona kila mwaka tunawakilishwa tena na watu wawili na mwaka jana Geza na Nando walienda.
Hii thread yako ni tangazo la Biashara. Hili sio jukwaa lake. Ipeleke kwenye jukwaa stahiki
Hii thread yako ni tangazo la Biashara. Hili sio jukwaa lake. Ipeleke kwenye jukwaa stahiki
My eyes on this thread,aje mtu alete mambo ya ki.sengery tena aonee..
Ban kitu ganiii...
Sina tatizo na mtu,ila ukinianza,,NTAMALIZA..
Hebu acha ututusa wewe, hao wote walikuwa ni washiriki kutoka Tanzania na siyo Wawakilishi, labda kama walikuwa wanakuwakilisha wewe na familia yako.
Wawakilishi wa nchi huwa wanaagwa na wizara na kukabidhiwa bendera ya Taifa.
Unajua nimekaa kimya muda mrefu lakin naona kuna kitu unatafuta. Ila sina muda wa kubishana na mtu kama wewe.
Kwa akili zako zilivyo ni kweli huwezi na hautawah kupata huo muda wa kubishana nami.peleka hyo thread yako jukwaa la biashara au kama vp waombe Modes watengeneze jukwaa la akinadada ili uwe unaweka thread zako za kuonesha maungo yako humo kwenye jukwaa la wadada wakusifie weeee ufurahi.
Kwa akili zako zilivyo ni kweli huwezi na hautawah kupata huo muda wa kubishana nami.peleka hyo thread yako jukwaa la biashara au kama vp waombe Modes watengeneze jukwaa la akinadada ili uwe unaweka thread zako za kuonesha maungo yako humo kwenye jukwaa la wadada wakusifie weeee ufurahi.
Kwa taharifa yako ata unizungumzie vibaya sikasiriki. Siwez nikamkasirikia mtu ambaye simjui pengine wewe ni ajuza ( bibi kizee) hivo itakuwa si busara.