Nijitibu vipi addiction ya soda?

Nijitibu vipi addiction ya soda?

Unaacha soda unakunywa chai na kahawa.! Are you serious.?
Vina madhara gani? Mbona hivi vinywaji ni watu wengi sana wanakunywa. Nenda nchi kama Finland uone kahawa inavyonyweka. Tena ile kahawa yenyewe na siyo instant coffee. Kila baada ya mlo watu wanakunywa kahawa. Kwa kifupi kwa siku watu wanakunywa kahawa atleast mara nne au tano.
 
Pole sana ila ni simpo tuu.. Mara nyingi soda huwa haikati kiu kabisa.. Ndio maana umesema huwa unaanza na soda halafu baadaye unakunywa maji, that means maji yanayokukata kiu.

Wengi tuliweza kwa kugeuza unaweza kununua soda kama unavyotaka, lakini hakikisha umenunua na maji tena makubwa.

Kisha hata kama unaitamani soda kiasi gani.. Anza na maji.. Kunywa maji ya kutosha, gugumia chupa yako halafu ukiiangalia soda utaona huna hamu nayo kwa wakati huo utaamua kuiweka pembeni kwanza..
Hata ukiinywa utakunywa kidogo sana na la muhimu ni kuwa maj yashatangulia ya kutosha.
Hata uwe na hamu ya soda kiasi gani ukianza tu kunywa maji ile kiu na hamu ya soda huwa inakata kabisa, lakini ukianza na soda unaweza ukanywa hata chupa mbili na bado kiu ipo na lazima utalazimika kunywa maji ndio utakuwa okay.. So just do vice versa utakuwa umetibu tatizo kirahisi sana.

Nyongeza ni vema uwe unanunua vile vichupa vidogo vya soda usisithubutu kununua chupa kubwa.. Kuna kaushamba fulani tunako waswahili eti mtu anadhani zile size ndogo ni kwaajili ya watoto no no no.. Au eti utaonekana huna hela hiiiii learn to mind your business.
Kile ni kipimo kizuri kwa mtu mzima mls 250 hadi 300 usizidishe hapo utakufa na utagundua hao uliokuwa unawaogopa au kuwaonea aibu ulikuwa tuu ni ujinga wako tuu maana hakuna aliyekuwa na time na wewe.. Ni kunishtukia tuu.

Mimi ukiona ninavyokula hotelin au mgahawani utanishangaa nipo very very selective.. Ni afadhali nishinde njaa kuliko kula kitu ambacho najua kitaniletea shida.. Huwa sili kabisa.
Mimi nakula mchemsho tuu usitiwa tiwa sijui nini au macuta mafuta, asubuhi, jimbi, mihogo, viazi mtori plain, vitafunwa vya mafuta nadra na nakula kwa hamu tu au kama hakuna alternative basi nitakula kidogo sana.

Juice za viwandani ndio mauaji ya halaiki yaani baada ya miaka michache hili taifa sijui litabaki na kina nani???? [emoji848]

Unakuta eti mtu hanywi pombe jambo jema kabisa halafu anakunywa kopo zima la Azam juice peke yake kwenye masherehe na mwingine anapewa makopo 2 na anajisifu eti alichangia fedha kubwa halafu asinywe wee.. Yaani mchango wako mwenyewe unakuuaa???
Ana unafuu mlevi kuliko mnywa juice 🧃 ilijazwa masukari ya viwandani na masweetener hatari kabisa.

Vifo vya kujiua Tanzania ni vingi mno mno sijui huko kwa Mungu Tutajibu nini??
Haya makitu hayana formula inayoeleweka. Nakubali ni kweli kuna kula vyakula vyenye afya na kufuata uashauri lakini ukianza kuhesabu kila kitu utakuta wanasema kina madhara.
 
Inshot vitu vya viwandani sio salama, nivizuri tupeane tips za juice za asili ambazo sio nzito nzito maana mi kuanza kupenda soda ni sababu ni kiywaji soft yani kikiwa baridi nikuweka mdomoni na kupiga funda nnazoweza nikishusha nasikia ubongo upo safi.

Nawaza kujaribu juice ya miwa sijui na yenyewe inamadhara!? maana nimeona sehemu af nikaona inaendana na vinywaji navypenda iko simple sio nzito.
Yeah jaribu juice ya miwa na maji ya madafu huwa wanasema vinasafisha kibofu
 

Tupe shule Wewe mkuu,jamaa ameeleza anachokifahamu….

Nafkir yuko sahihi kwa upande mwngne,mwisho wa siku n kuwa ile sukar inabadlishwa kuwa mafuta na kujishkiza sehemu mbali mbali za mwili kama kifua,makalio,mapaja ama kwnye mishipa ya damu
 
Nijitibu vipi addiction ya soda.
  • Anza polepole. Usijaribu kuacha soda mara moja. Badala yake, jaribu kupunguza kiasi unachotumia hatua kwa hatua. Kwa mfano, unaweza kuanza kwa kunywa soda moja kwa siku, kisha kupunguza kwa soda moja kila siku nyingine, na kadhalika.

  • Pata mbadala. Badala ya kunywa soda, jaribu kunywa maji, chai, au kahawa.
Unamuambia soda ina caffeine ila unamshauri atumie chai na kahawa
 
Anza kujua ni mazingira gani au nini kinakuchochea wewe kupata hamu ya soda..(cause). Ukishakunywa ile soda kuna hali fulani unajihisi ya kufurahia...(reward). fanya replacement kila unapohisi hamu ya soda...either kula salad ya matunda au maji
 
Wakuu, wakubwa kwa wadogo naomba kujua madhara nitakayopata kwa unywaji wa soda, nimekua kama teja, kuna wakati nanunua majiyakuywa na soda pembeni yan kwanza nakuywa soda nikiridhika ndo nakuywa maji kidogo.

Nilianza kwa kuywa soda chupa moja wakati wa mchana tuu saivi naweza kuywa mara3 kwa siku, nimefikia hatua nanunua cret la soda kwajili ya usiku kabla ya kulala niwe napiga moja then naenda on bed, nina khofu nikitu gani kitafata baadae ila kwa sasa sina tatizo lolote.

Ugojwa wangu ni Mirinda nyeusi, Sprite, Stone tangawizi au pineapple pia energy drinks hua nagonga maramoja moja kama nikiywa soda then nikawa sijaridhika.

Figo zako jiandae, pia matatizo ya kisukari au uzito kuongezeka kupita kiasi ni hatari sana, soda ni sugars tupu, prepare for the worst within few years ahead
 
Wakuu, wakubwa kwa wadogo naomba kujua madhara nitakayopata kwa unywaji wa soda, nimekua kama teja, kuna wakati nanunua majiyakuywa na soda pembeni yan kwanza nakuywa soda nikiridhika ndo nakuywa maji kidogo.

Nilianza kwa kuywa soda chupa moja wakati wa mchana tuu saivi naweza kuywa mara3 kwa siku, nimefikia hatua nanunua cret la soda kwajili ya usiku kabla ya kulala niwe napiga moja then naenda on bed, nina khofu nikitu gani kitafata baadae ila kwa sasa sina tatizo lolote.

Ugojwa wangu ni Mirinda nyeusi, Sprite, Stone tangawizi au pineapple pia energy drinks hua nagonga maramoja moja kama nikiywa soda then nikawa sijaridhika.
Ningekua karibu ningekutibu.

Ningekusubiri ufungue mirinda nyeusi, nakuagiza kitu dukani ukirudi utakuta nimekuwea konokono ndani, ukiinywa na ukagundua mle ndani kuna konokono hutarudia kunywa soda tena😂😂
 
Ningekua karibu ningekutibu.

Ningekusubiri ufungue mirinda nyeusi, nakuagiza kitu dukani ukirudi utakuta nimekuwea konokono ndani, ukiinywa na ukagundua mle ndani kuna konokono hutarudia kunywa soda tena[emoji23][emoji23]

Hatari[emoji23][emoji23] niko soba house hataivyo, mambo yanaenda vizuri.
 
IMG_0825.png

IMG_0825.png
 
Wakuu, wakubwa kwa wadogo naomba kujua madhara nitakayopata kwa unywaji wa soda, nimekua kama teja, kuna wakati nanunua majiyakuywa na soda pembeni yan kwanza nakuywa soda nikiridhika ndo nakuywa maji kidogo.

Nilianza kwa kuywa soda chupa moja wakati wa mchana tuu saivi naweza kuywa mara3 kwa siku, nimefikia hatua nanunua cret la soda kwajili ya usiku kabla ya kulala niwe napiga moja then naenda on bed, nina khofu nikitu gani kitafata baadae ila kwa sasa sina tatizo lolote.

Ugojwa wangu ni Mirinda nyeusi, Sprite, Stone tangawizi au pineapple pia energy drinks hua nagonga maramoja moja kama nikiywa soda then nikawa sijaridhika.
Tafuta mbadala wa soda..kama juice ya matunda. maji ya baridi na na chai
 
Me niko addicted na energy drinks
Tena nikiwa nachek mechi ya arsenal au yanga sebuleni lazima azam energy uhusike
Sijui najitoaje kwenye uraibu huu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili naona nimefaulu , mwezi unaeza isha sijanywa soda kabisa. Nikinywa labda moja nikizidisha mbili. Japo inataka moyo kuna saa jua ni kali nikiona ile peps ya bariidi natamani.
 
Me niko addicted na energy drinks
Tena nikiwa nachek mechi ya arsenal au yanga sebuleni lazima azam energy uhusike
Sijui najitoaje kwenye uraibu huu

Sent using Jamii Forums mobile app

Kubali kua sio salama mkuu, saivi nimejiwekea challenge yakutotumia kiywaji chochote cha kiwandani pia sukari na chumvi ya mezani yan nikifikisha mwezi nasherekea kabisa.
 
Back
Top Bottom