Nijuzeni: Costantine Kimanda alikuwa ni mchezaji wa aina gani?

Beki 5 ya Yanga,
Alikua mtu mmoja serious na smart sana,
Ujio wake Yanga ulileta Changamoto kwa Beki 5 ya Simba ya wakati huo, George Magere Masatu (GM).
Changamoto ilikua kwamba nani Beki 5 bora kwa wakati huo.
kwa matazamo wako nani alikuwa fundi zaidi ya mwenzake?
 
Kimanda ndio yupi hapo?
Mstari wa nyuma toka kushoto: Salum Kabunda "Ninja", Constantine Kimanda, Steven Nemes, Keneth Pius Mkapa, Suleiman Mkati
Mstari wa mbele toka kushoto: Nico Bambaga (RIP), Sekilojo Chambua, Edibily Jonas Lunyamila, James Tungaraza "Boli Zozo" (RIP) na Said Mwamba "Kizota " (RIP)
 
Vuta kumbukizi ya hii mechi

Mstari wa nyuma toka kushoto: Salum Kabunda "Ninja", Constantine Kimanda, Steven Nemes, Keneth Pius Mkapa, Suleiman Mkati
Mstari wa mbele toka kushoto: Nico Bambaga (RIP), Sekilojo Chambua, Edibily Jonas Lunyamila, James Tungaraza "Boli Zozo" (RIP) na Said Mwamba "Kizota " (RIP)
 
Damian Kimti ni Mrundi kumbe?
Hapana, Damian Mrisho "Kimti" alikua Mkigoma,
Urundi wake ulikuja baada ya kua aliifunga kila timu iliyokutana na Simba enzi hizo,
Timu zikafululizana FAT kukata rufaa kua si Mtanzania,
Mwisho wa siku FAT iliztupilia mbali rufaa hizo ila jina la Mrundi ndio likaanzia hapo,
Kabla ya kufululiza kuzifunga hizo timu hakuna aliewaza kua ni Mrundi
 
Halafu vuta picha ya mzozo wa Said Maulid "SMG". Yalitafutwa mpaka madaftari yake ya darasa la sita!
 
uko vzr mzee!
 
Nimekusoma vyema sana!
 
Mohamed Hussein Machinga. Striker wetu, Dar Es Salaam Young Africans baby
 
Nico Bambaga hajafa bana
 
Timu kali kama hii utaifungaje kwa mfano?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…