Nijuzeni: Costantine Kimanda alikuwa ni mchezaji wa aina gani?

Nijuzeni: Costantine Kimanda alikuwa ni mchezaji wa aina gani?

Constantine Kimanda na Ngadou Ramadhani hawa walikuwa ni wachezaji wa timu ya taifa ya Burundi baada ya kutoka nchini kwao na kwenda kwenye mashindano kukatokea vurugu wakashindwa kurudi kwao walipotua nchini RIP ABAS GULAMALI akawasaji.

Ilikuwa pacha hatari ya Rip Method Mogella na Constantine Kimanda hawa kwa pamoja waliuzwa Arabuni lkn Rip Method akarudi nchini.

Constantine Kimanda alipendwa mno Arabuni kiasi waligomea offer ya kumuuza Belgium akaamua kutoroka na Timu ya Arabuni ikashtaki FiFa Constantine Kimanda akafungiwa na Fifa miaka 5.

Yupo Belgium anafanya shughuli zake hili ni kwa hisani ya Bita John alinisimulia siku moja kwa kuwa walicheza naye Arabuni.
Asante kwa darasa zuri.
 
Ilichabangwa 4 kwa 1 na Simba, mwaka 1994, Mzee wa Kiminyio Madaraka Selemani alimtesa Kimanda kweli kweli, baada ya hapo Kimanda alikimbilia uarabuni, ni enzi za Yanga kandambili RIP Mpondela
Kwa kumbukumbu zangu hiyo mechi ilichezwa kati ya mwaka 2000 au 2001 kama sikosei.
 
George Magere Masatu alikuwa ni mzuri zaidi ya Kimanda
 
Mkuu Kimanda alicheza mechi moja tu ya watani na ilisemekana wachezaji wa Yanga walivuta muamala ambapo Yanga walifungwa 4-1. Katika mchezo huo alifunga goli na alishangaa wenzake kucheza kwa kutojituma hali iliyopelekea yeye pekee ndiyo aruhusiwe kukanyaga makao makuu ya klabu.Ni Madaraka Selemani aliyefunga magoli mawili na George Masatu, kusema hatamsahau marehemu Chumila sio kweli
Hiyo mechi mimi niliiona kwa macho,makocha wetu walikuwa ni tambwe leya na nzoyisaba tauzany

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom