Nijuzeni, Kwanini zisiwepo noti na sarafu zenye picha ya Jakaya Kikwete, Benjamin Mkapa na rais Magufuli? Ianzishwe na noti ya elfu hamsini

Nijuzeni, Kwanini zisiwepo noti na sarafu zenye picha ya Jakaya Kikwete, Benjamin Mkapa na rais Magufuli? Ianzishwe na noti ya elfu hamsini

Inaelekea ni kijana wa juzi lakini kwa kukusaidia aliyezuia utaratibu wa picha za kila rais kuwekwa kwenye noti ni Marehemu Mkapa kwani baada ya kuingia madarakani alikataa picha yake iwekwe kama alivyokuwa mtangulizi wake Mwinyi badala yake zikaendelea kubaki picha za Nyerere na Karume
 
Kuwa rais si jambo dogo,kwani rais humwakilisha muumba hapa duniani,sasa inakuwaje tusiwaone kwenye hela?kwani wakionekana ktk hela huwa ni kumbukumbu ya kizazi cha Taifa kilichopiga kura kwa wakati huo.

Hata kama ilikuwa azimio la nchi nyingi kutokuwekwa picha ila tunaweza kuamua sisi kama sisi.tuwaone akina Jk,mh.Benjamin William Mkapa na mh.Rais Dr.Magufuli.natumai waheshimiwa wabunge wapya wajao wataanza na hili,pia tunaomba ianzishwe noti ya elfu hamsini kwani tumeingia ktk uchumi wa kati.hongera awamu zote kwa kutufikisha ktk uchumi wa kati.
Hakuna tija kuweka picha ya Raisi kwenye pesa,hata obama,Trump,bush hawakuweka picha kwenye pesa,Haina faida kabisa,na ni Mkapa aliyesitisha huo utaratibu
 
Back
Top Bottom