Nikajua anakunywa bia kumbe anajaza Maji kwenye chupa ya safari

Nikajua anakunywa bia kumbe anajaza Maji kwenye chupa ya safari

Bar maids wengi ni +ve, tena shinyanga huko ni shida Kuna gonorrhea moja ilianzia Kakola , inaua
Umenikumbusha kisa cha mererani.
Wachimba madini waliambiwa na mganga wapige mbupu punda!!
Wakamkata yule punda miguu ili asilete purukushani..kisha wakamuingilia jamaa km 7 hivi..
Hilo kaswende walipata iliwaua wote hadi madem zao
 
Yananunuliwa maji makubwa chupa mbili ya buku buku na yanawekwa counter chini kabisa, anaenda anampanga counter anakua anamuwekea maji kwenye makasha tupu, sasa anakuja nalo linamaji anakunywa mdogo mdogo linaisha, anaacha hapo anaendea lingine yaani bia 5 , unatoa 10000 halafu anatoa buku 2 ya maji na counter anakula buku mbili faida 6000 , hapo utajipendekeza msosi wa elfu saba, utachukua goma kulala nalo 20k , bado ukiwa hujielewi utasachiwa atakutoa hata 10k ukiwa umeenda kuoga au atalamba 5k ukijumlisha one night ataondoka na 45K , kazi inaishia hapo
Na bado anaondoka analalamika haujamfikisha kileleni.
 
Yananunuliwa maji makubwa chupa mbili ya buku buku na yanawekwa counter chini kabisa, anaenda anampanga counter anakua anamuwekea maji kwenye makasha tupu, sasa anakuja nalo linamaji anakunywa mdogo mdogo linaisha, anaacha hapo anaendea lingine yaani bia 5 , unatoa 10000 halafu anatoa buku 2 ya maji na counter anakula buku mbili faida 6000 , hapo utajipendekeza msosi wa elfu saba, utachukua goma kulala nalo 20k , bado ukiwa hujielewi utasachiwa atakutoa hata 10k ukiwa umeenda kuoga au atalamba 5k ukijumlisha one night ataondoka na 45K , kazi inaishia hapo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Umenikumbusha kisa cha mererani.
Wachimba madini waliambiwa na mganga wapige mbupu punda!!
Wakamkata yule punda miguu ili asilete purukushani..kisha wakamuingilia jamaa km 7 hivi..
Hilo kaswende walipata iliwaua wote hadi madem zao
Hhhahaha acha uongo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119]
 
Kwani mambo mengine"
Yananunuliwa maji makubwa chupa mbili ya buku buku na yanawekwa counter chini kabisa, anaenda anampanga counter anakua anamuwekea maji kwenye makasha tupu, sasa anakuja nalo linamaji anakunywa mdogo mdogo linaisha, anaacha hapo anaendea lingine yaani bia 5 , unatoa 10000 halafu anatoa buku 2 ya maji na counter anakula buku mbili faida 6000 , hapo utajipendekeza msosi wa elfu saba, utachukua goma kulala nalo 20k , bado ukiwa hujielewi utasachiwa atakutoa hata 10k ukiwa umeenda kuoga au atalamba 5k ukijumlisha one night ataondoka na 45K , kazi inaishia hapo
kwa maelezo hayo, yamkini hao viumbe unawajua vilivyo, tena si kwa kuelezwa ni kwa utafiti ulifanya.
 
Ndomana mnafanyiwa ukatili, bora useme ukweli hutumii pombe mm nitakununulia hata wine ya Namibia nitalipa. Sio kunidanganya nakufanya uhuni wa kipumbavu unakunywa Maji non stop chupa tano Kwa dk kumi nikajua unapakamia kumbe umeweka dawasco

Acheni upuuzi nyie wanawake hususani barmaid maana mtakuja kufanywa 0713 afu mseme wanaume wote mbwa. Sasa wewe barmaid niliyekupa hii offer ya kunywa bia sitoi hata mia. Tahila we

Nipo shinyanga mjini PAPILON BAR uhuru street. Kalibuni
Ulionja ndiyo ukajua au ulijuajejuaje?😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom