Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
- #21
Ukitaka Maji nakupa uwe tu mkweliAsa tukaribie nini akati maji tu umeshindwa kulipa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukitaka Maji nakupa uwe tu mkweliAsa tukaribie nini akati maji tu umeshindwa kulipa?
Umenikumbusha kisa cha mererani.Bar maids wengi ni +ve, tena shinyanga huko ni shida Kuna gonorrhea moja ilianzia Kakola , inaua
Na bado anaondoka analalamika haujamfikisha kileleni.Yananunuliwa maji makubwa chupa mbili ya buku buku na yanawekwa counter chini kabisa, anaenda anampanga counter anakua anamuwekea maji kwenye makasha tupu, sasa anakuja nalo linamaji anakunywa mdogo mdogo linaisha, anaacha hapo anaendea lingine yaani bia 5 , unatoa 10000 halafu anatoa buku 2 ya maji na counter anakula buku mbili faida 6000 , hapo utajipendekeza msosi wa elfu saba, utachukua goma kulala nalo 20k , bado ukiwa hujielewi utasachiwa atakutoa hata 10k ukiwa umeenda kuoga au atalamba 5k ukijumlisha one night ataondoka na 45K , kazi inaishia hapo
HahahahaUmepigwa usukumani?
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Tumelipokea hili swala kwa masikitiko makubwa sana.
Tutalifanyia kazi ndani ya mkoa huo. Asante
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yananunuliwa maji makubwa chupa mbili ya buku buku na yanawekwa counter chini kabisa, anaenda anampanga counter anakua anamuwekea maji kwenye makasha tupu, sasa anakuja nalo linamaji anakunywa mdogo mdogo linaisha, anaacha hapo anaendea lingine yaani bia 5 , unatoa 10000 halafu anatoa buku 2 ya maji na counter anakula buku mbili faida 6000 , hapo utajipendekeza msosi wa elfu saba, utachukua goma kulala nalo 20k , bado ukiwa hujielewi utasachiwa atakutoa hata 10k ukiwa umeenda kuoga au atalamba 5k ukijumlisha one night ataondoka na 45K , kazi inaishia hapo
Hhhahaha acha uongo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119]Umenikumbusha kisa cha mererani.
Wachimba madini waliambiwa na mganga wapige mbupu punda!!
Wakamkata yule punda miguu ili asilete purukushani..kisha wakamuingilia jamaa km 7 hivi..
Hilo kaswende walipata iliwaua wote hadi madem zao
kwa maelezo hayo, yamkini hao viumbe unawajua vilivyo, tena si kwa kuelezwa ni kwa utafiti ulifanya.Yananunuliwa maji makubwa chupa mbili ya buku buku na yanawekwa counter chini kabisa, anaenda anampanga counter anakua anamuwekea maji kwenye makasha tupu, sasa anakuja nalo linamaji anakunywa mdogo mdogo linaisha, anaacha hapo anaendea lingine yaani bia 5 , unatoa 10000 halafu anatoa buku 2 ya maji na counter anakula buku mbili faida 6000 , hapo utajipendekeza msosi wa elfu saba, utachukua goma kulala nalo 20k , bado ukiwa hujielewi utasachiwa atakutoa hata 10k ukiwa umeenda kuoga au atalamba 5k ukijumlisha one night ataondoka na 45K , kazi inaishia hapo
Ulionja ndiyo ukajua au ulijuajejuaje?😂😂😂😂😂Ndomana mnafanyiwa ukatili, bora useme ukweli hutumii pombe mm nitakununulia hata wine ya Namibia nitalipa. Sio kunidanganya nakufanya uhuni wa kipumbavu unakunywa Maji non stop chupa tano Kwa dk kumi nikajua unapakamia kumbe umeweka dawasco
Acheni upuuzi nyie wanawake hususani barmaid maana mtakuja kufanywa 0713 afu mseme wanaume wote mbwa. Sasa wewe barmaid niliyekupa hii offer ya kunywa bia sitoi hata mia. Tahila we
Nipo shinyanga mjini PAPILON BAR uhuru street. Kalibuni
Niliambiwa na barmaid wenzakeUlionja ndiyo ukajua au ulijuajejuaje?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ulichanganya na zako?Kama walimuonea wivu tu?Niliambiwa na barmaid wenzake
Khabisa et [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwani mambo mengine"
kwa maelezo hayo, yamkini hao viumbe unawajua vilivyo, tena si kwa kuelezwa ni kwa utafiti ulifanya.
Washamba sanaHiyo tabia ipo sana hapo Shinyanga
Kote ni yaleyaleSi ungeenda level 0ne [emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23]Tumelipokea hili swala kwa masikitiko makubwa sana.
Tutalifanyia kazi ndani ya mkoa huo. Asante