Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Enyi vijana wa kiume Acheni kudate na wasichana wapumbavu.
Ninyi ndio mna ongeza idadi ya watanzania wapumbavu nchini.
Ninyi ndio mna ongeza idadi ya watanzania wapumbavu nchini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe na yeye akili zenu kama za DPWHabari za maisha wakuu
Tulitengana akaondoka na mtoto akaenda kukaa kwa dada yake baadae alipata mtu mwingine akamuoa siku ya ndoa yake aliambiwa na dada yake mkubwa pamoja na mume wake huyo kua anipigie simu kwamba anaolewa na kama nikitaka kumsalimia mtoto nimpigie dada yake na sio yeye nikasema sawa hilo limeisha lakini jambo la kusikitisha ni kwamba hiyo ndoa yao ilidumu kwa muda wa miezi mitatu mke akaachwa tena kwa tabia zake hizo za kutoka nje ya ndoa na hata vitu vya ndani alivyoondoka navyo kutoka hapa kwangu kwa ajili akatumie yeye na mtoto kaviacha kwa huyo mwanaume mpaka leo.
Alirudi tena kwa dada yake round hii life lili mgonga sababu alikua hana shughuli yoyote ya kumuingizia kipato zaidi ya sehemu zake za siri kuna siku nilimipigia simu dada yake ili nijue maendeleo ya mtoto dada yake nae asivyo kua na haya mzaramo yule ananiambia eti mrudie mwenzio mlee mtoto nilikataa katakata siwezi rudia matapishi baada ya siku kadhaa dada yake akanipigia simu shemeji njoo umchukue mwanao anaumwa maana mama yake simuelewi hajali kuhusu mwanae.
Bila kinyongo nikaenda kumchukua mtoto lakini siku hiyohoyo mida ya saa tano usiku nasikia mtu ananiita dirishani nauliza nani anajitambulisha anasema amesikia mtoto alikua anaumwa hivyo kaja kumuona nikashangaa ndio uje usiku nikamkatalia asiingie ndani na wala sikufungua mlango alisubiri hatimae akaondoka baada ya wiki moja dada yake anapiga simu anadai sasa hivi mama yake na huyu mtoto katulia hivyo nimrudishie mtoto nikagoma napia nikagundua kumbe lengo la kunipa mtoto lilikua ni mtego ili turudiane.
Huyo mwanamke kapambana kapata bwana mwingine tena kamuoa baada ya kuolewa kaanza kunitumia ujumbe kua nimrudishie mtoto kwa sababu sio damu yangu kwamba nakaaje na mtoto asie wangu na wakati baba yake yupo nikapotezea nikasema hili chizi nini nilipokuja kugundua kua hili jambo liko serious kaenda kawaambia mpaka ndugu zangu kua yule mtoto sio wake ana baba yake mzani sio yeye mwambieni asikae na mali za wenyewe basi bwana bila kinyongo nikamwambia njoo umchukue mwanao bwana nitazaa mwingine kwani mimi bado ni kijana.
Jana ndio kaniacha mdomo wazi kanipigia simu ananiambia eti mtoto kafika umri wa kuanza shule tuma hela nimuandae mapema kabla hajachelewa nimemuuliza baba yake mzazi yuko wapi kaanza kujichekesha kama jinga vile.
Wanwafanyie wanaume mazwazwa wasiojielewa.Wanawake wengi huwa hawapimi uzito wa meneno yao kabla hajasema, yeye anachojali afanye hivyo ili akukomoe au apime upendo wako kwake.
Kabisa mwanamke akishakuonyesha kuwa anahitaji akupunguze kwenye maisha yake na anabwana mwingine hutakiwi kurudi hapo tena maisha yako yote laa sivyo jiandae kudharauliwaWanwafanyie wanaume mazwazwa wasiojielewa.
Ndio maana mwanamke anaolewa na wewe anapigwa nje na bado anakwambia mrudiane.
Ukiona hivyo ujue kashakuona wewe ni Poyoyo.
Kabisa hadi dada mtu naye anamchezea akili hivyo.Kabisa mwanamke akishakuonyesha kuwa anahitaji akupunguze kwenye maisha yake na anabwana mwingine hutakiwi kurudi hapo tena maisha yako yote laa sivyo jiandae kudharauliwa
Sema jamaa hapo aendelee tu kupambana ukishazaa na mpumbavu jiandae kusumbuliwa kila siku maana kiunganishi ni mtotoKabisa hadi dada mtu naye anamchezea akili hivyo.
Ninachojiuliza kaliwezaji kumaliza sentensi kakiwa kamesimama, au kwa kuwa wanaongea kwa simu?Kama ulifuata maelekezo ya hicho kibinti mara ya Kwanza, iweje uone shida kufuata sasa hivi?
Ni sahihi anapitia aibu. Hakuna mwanaume hapa. Pumbavu kabisa.Mambo mengine hayahitaji ushauri
Shida ipo hapa.... hawa wanawezana wenyewemzaramo yule