Nikaribisheni BABU YENU

Nikaribisheni BABU YENU

Babu umejenga au ndio umejizima mahali babu unataka utafutiwe bibi wakufa nae??😆😆😄😄
Ninaishi na wajukuu wangu, bibi yenu alishakufa 2017 na cancer, nipo pekee yangu ila wajukuu wananipa furaha sana,

Na mfanayakazi pia wakuni saidia
 
Wastaafu tunazidi kuongezeka JF.
Sawa binafsi nilishajitambulisha kitambo wengi wananifahamu kama mzee mwenye mabinti wenye original bikra,pia ni mzee mwenye nguvu zake za kuchakata chochote hata iwe "K" niliutumia vizuri ujana wangu.
 
Bahati mbaya huna haja ya kujitambulisha wewe ni babu, JF wanaume wote ni early 30’s wanakunywa pombe, wanajua sana kuchakata, wana magari, wanaume wengi humu wana nyumba na maisha bora.
Yaani sisi wote ni vijana.
Kasoro hakuna ndoa humu, RIP mkeo.
Na wanawake wote hawa ni single mothers. Wazuri kwenye typing wabaya face 2 face. Chagua jarida uwe unatoa mawazo.
LILe la kubeti usiingie huwa hawashindi kule.
 
Babu uchoyo huo....we hutaki kuweka milioni upate milioni Kumi?🤣🤣🤣
Sina shida na hiyo millioni 10 rafiki, nimeshaona hela nyingi nimeridhika sasa, 👐
 
Bahati mbaya huna haja ya kujitambulisha wewe ni babu, JF wanaume wote ni early 30’s wanakunywa pombe, wanajua sana kuchakata, wana magari, wanaume wengi humu wana nyumba na maisha bora.
Yaani sisi wote ni vijana.
Kasoro hakuna ndoa humu, RIP mkeo.
Na wanawake wote hawa ni single mothers. Wazuri kwenye typing wabaya face 2 face. Chagua jarida uwe unatoa mawazo.
LILe la kubeti usiingie huwa hawashindi kule.
Ntakuwa kwenye siasa nadhani rafiki, asante kwa kunitaarifu
 
Back
Top Bottom