Nikaribisheni BABU YENU

Nikaribisheni BABU YENU

Desturi ya chizi ni kuona wengine wote machizi.
Halkadhalika na mja laana kuona kila mtu kalaaniwa pia.
Wewe ndio mjalaana maana umenianza mwenyewe so aliyelaaniwa niwewe sio mie na chizi ni familia yenu na ukoo wenu hata mke wako ni mjalaana
 
Babu una moto. Nani kakufundisha kufunga PM?
Useme hii ni back up ya id gani? Hatutaki kujichanganya huko Pm
IMG_6638.png
 
Wakuu za sahizi,

Mimi babu yenu nimeamua kujiunga nanyi leo, hii

Baada ya kuuona huu mtandao ukipewa support kubwa sana na watu mbalimbali

Mimi nime staafu kazi X niliyoitumikia kwa mika 35, mwaka 2016 rasmi hivyo nalea wajukuu tu,

Ningependa mnipokee wanajukwaa

Natanguliza shukran, kwenu [emoji114][emoji114],

Muwe na weeknd njema
Karibu Babu.Shikamoo
 
Halafu ukute ndio Unique Flower kaamua kuja kivingine [emoji16] [emoji16] .

Anyways kama ni babu kweli kuwa makini sio kila unaemuona kwenye dp ndie uhalisia wa muhusika.
Usipokuwa makini pesa ya mafao yote utaishia kuhonga kwa kibabu mwenzio kinachojifanya binti.

Humu hakuna pisikali kuna maajuza, mashangazi na masingle mama yanayotafuta second chance in life.
Nakazia
 
Nikiwekewa babu na andazi, nachagua andazi.
 
Babu kalewea mafao yote saizi anatafuta kufarijiwa JF
 
Back
Top Bottom