Nikaribisheni BABU YENU

Nikaribisheni BABU YENU

Babu kalewea mafao yote saizi anatafuta kufarijiwa JF
Hapana mjukuu, nipo tu hapa kama mpitaji kuangalia baadhi ya hoja za watu humu, sio kufarijiwa mkuu, 👐
 
Halafu ukute ndio Unique Flower kaamua kuja kivingine [emoji16] [emoji16] .

Anyways kama ni babu kweli kuwa makini sio kila unaemuona kwenye dp ndie uhalisia wa muhusika.
Usipokuwa makini pesa ya mafao yote utaishia kuhonga kwa kibabu mwenzio kinachojifanya binti.

Humu hakuna pisikali kuna maajuza, mashangazi na masingle mama yanayotafuta second chance in life.
[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Back
Top Bottom