love b
JF-Expert Member
- Aug 27, 2017
- 2,155
- 3,162
Usijali. Ujumbe ulikuja mahala pasipotakiwaKuhusu nini tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usijali. Ujumbe ulikuja mahala pasipotakiwaKuhusu nini tena
Mimi sina mchuchu, wewe ndio ushakuwa mchuchu wanguHusna ndo mchuchu wako
[emoji1] [emoji1] gudume ndio huyu. Yani dp yake na jina lake mie sina mbavumkemiamkuu usimtishe dada yangu mpendwa... mimi mbona ni mtu mwema sana? tena ukiweza jaribu kupitia kila demu ambaye nime mgegedua.. ukiwa naye mwambie akupe style alizojifunza kwangu. utaenjoy sana.
Bado tunaendelea kukuelekeza.Yaani mngejua nilivo wakaiwa sanaa na sometimes nakosa hata ya soda msinge niita 'Mkuu' maana hicho cheo hata sistahiki
Usipeperushe njiwa wangu mkuu[emoji34] [emoji34]Kama huna chura hatukukaribishi ng'oo![emoji28]
Aaahhh nimekuelewa rafiki anguBado tunaendelea kukuelekeza.
Neno ''Mkuu" hapa linatumika kwa mtu yoyote maana hatujuani, na huwezi kujua huyu ni mkubwa zaidi yako au mdogo kwako.
Kwa hiyo hilo neno ni unique kwa matumizi hapa. Ukiitwa hilo neno sio kwamba umekuwa Boss au mtu mwenye hadhi sana.
Sawa, likikutatiza lingine usemeAaahhh nimekuelewa rafiki angu
ILi Ku bold unafanyaje
Kuna uzi unaoelezea ku bold, nimeutafuta bado sijaupata, nikiiupata nitakuletea link ukajifunze.Ku bold Maneno ndo bafo
[emoji1] [emoji1] gudume ndio huyu. Yani dp yake na jina lake mie sina mbavu
MmeoDaby ndiyo nani?
Nakuona nakuonaSawa, likikutatiza lingine useme
Wacha weeeMmeo