Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Kasema anavaa.aisee mkuu unahisi itakuwa havai ??
Wanawake wengine hawavai mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kasema anavaa.aisee mkuu unahisi itakuwa havai ??
naam nikweli ..nahata wakivaa basii nivile vyakamba ..bikini ..hatari tupu mkuu kama stripersKasema anavaa.
Wanawake wengine hawavai mkuu
Yani ni sahihi usemacho hapa nimecheka mchana kutwa . humu usipojiangalia utakuwa unacheka kama chizi njianihuku hakunaga kuleft mkuu ..labda kifo kikutembeleee..utacheka humu mpka ukojoe..wanasema kuna machizi milembe ..lakini humu sasa kuna machizi ambao wana degree zao humu humu..kuna wakati watakupa fact mbalimbali zakuuhusu ulimwengu na vilivyomo utaelimika mpaka utajilaumu kwanini ulichelewa kuja Jf ..halafu hao hao watakao kuelemisha kesho yake utashangaa wakianzisha uzi kuwa MKE WANGU KANIFUMA NA CONDOM ILIYOTUMIKA KWENYE DUSHE ..MWINGINE UTAMSIKIA WANAUME MUWE MNAFUA BOXER ..hahaa fautilia comment sasa utachoka ..jiandane mapema kupasuka bandama
Hapana maisha yangu yakawaida sana somtimez napiga mizinga wazeehahaaa naam laone kana ni ke.maana lina usoft flani hvi..ila humu ukiandika majina yko halisi then ukajifnya matawi nakuwa danganya watu kuwa mambo yko safi wakati msosi wenyewe rakaa moja ..utawafnya watu wakudukue kisha waje kukuanika humu mpka utakoma..unaweza kuiona jf chungu kama sifongo
Njoo pm kwanza huku waachie wakuuKaribu sana
Malizia mkuu kwa kikwenu inamaanisha nini?Dah kibumbu hilo jina lako Kwa kikwetu nikikutafslia utacheka[emoji1] [emoji1]
Hapo sawatupo pamoja
Avatar yako mbona inanivuta pmHahahahaa hapa ndo utajua huku kutamu Kwa haya majina na dp zenu