Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siku hizi namuona usiku tu, atakuja usiku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siku hizi namuona usiku tu, atakuja usiku
Karibu pm nasimamia kitengo hicho utijuta AnivaHilo pia jina lamtu?
Nikaribishe na MimiNdiyo mimi ni mwanamke,karibu sana
[emoji15] [emoji15] [emoji15]Nikaribishe na Mimi
hahaaa naam laone kana ni ke.maana lina usoft flani hvi..ila humu ukiandika majina yko halisi then ukajifnya matawi nakuwa danganya watu kuwa mambo yko safi wakati msosi wenyewe rakaa moja ..utawafnya watu wakudukue kisha waje kukuanika humu mpka utakoma..unaweza kuiona jf chungu kama sifongoKumbe kuandika majina halisi ni muhim sana. ILA linaonekana ni ke
aisee mkuu unahisi itakuwa havai ??Chupi ukiiona ina raha yake mrembo.
Wewe unavaa chupi?
hahaaaMuongozo wa humu ni kwamba ukitongozwa unatakiwa ukubali sio kukataa.
hahaaaUsiweke mpk hawa majambazi wengine waone niwekee PM nione akama Aniva yako kubwa
asante mkuuHahaha hahaha umetisha hearly
huku hakunaga kuleft mkuu ..labda kifo kikutembeleee..utacheka humu mpka ukojoe..wanasema kuna machizi milembe ..lakini humu sasa kuna machizi ambao wana degree zao humu humu..kuna wakati watakupa fact mbalimbali zakuuhusu ulimwengu na vilivyomo utaelimika mpaka utajilaumu kwanini ulichelewa kuja Jf ..halafu hao hao watakao kuelemisha kesho yake utashangaa wakianzisha uzi kuwa MKE WANGU KANIFUMA NA CONDOM ILIYOTUMIKA KWENYE DUSHE ..MWINGINE UTAMSIKIA WANAUME MUWE MNAFUA BOXER ..hahaa fautilia comment sasa utachoka ..jiandane mapema kupasuka bandamaAsante sana. Huku Raha sijui kama ntaleft
daaahh shunieEwaaaa my dear akikufatwa unitumie ma screenshot
aiseee halafu twalala mika wazungu wanatubagua ..wakati hata sisi twabaguana ..[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] thread ya me inakuwa na comments 5
Mkuu salama?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mzee tuachie na sisi basi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
cc Inna
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahahahahahaha lol! Nimecheka sana aisee
kibumbu salama kabisa kitambo bossMkuu salama?