Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Why me ?Chagua moja nikujibu Hapo. Yote ntaandika nimalize page Nzima hapa
Majina yangu siyo ishu. La kwanza Aniva. Lapili Richard. Latatu Maro.Amna ukifanya ivo siku ingine siwezi kukusaidia unless you don't need my help anymore!!.
Kutoka kwangu ,, naomba unisaidie mambo haya matatu just for insurance purpose
[emoji117] majina yako matatu kamili.
[emoji117] namba ya simu hata km ni ya Baba nisawa ,ili mradi niwe namuuliza Aniva hajambo !!.
[emoji117] kila siku asubuh niwe MTU wako wakwanza kumjulia hali nakila siku usiku niwe MTU wako wamwisho Wa kumtakia usiku mwema !!.
Please PM me if you are brave enough[emoji12] [emoji12] !!.
Siamini na wewe umepata ban. Pole sana rafiki!Hebu weka picha tukuine Aniva
Mimi nmiekupa like yako ya kwanza kbs JF hopefully utakuwa mchangiaji mzuri na like zijae mpk juu
Yaaan ktk wishes zangu nilokuomba ,moja tu ya maji na ndo umeitendea haki !!.Majina yangu siyo ishu. La kwanza Aniva. Lapili Richard. Latatu Maro.
Namba ya baba ninaweza kukupa iLa ngoja nimuulize. Kuhusu kunijulia hali haina shida wewe tuu.
ILa wewe unaonekana mjanja mjanjaaa π π π π
Hahahahaa nawewe umechapia. instead majina umeandika maji*Yaaan ktk wishes zangu nilokuomba ,moja tu ya maji na ndo umeitendea haki !!.
Yapili hujafanya sawasawa sababu hata yako ingefaa tu unless unapendelea ya Baba.
Latatu,, umenigeuzia Mimi kibao !!.
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] amna bana , ningekua naujanja tayar mmhhh !!
Hahahahaa Namimi nacheka maana wewe pia ulichapia π π[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umenifanya nichekeeeeee hata nimejifeel a [emoji116]new Afrika mashariki kama walivo ITV super brand[emoji23] [emoji109]
Inamaana umecheka namm nmecheka kwaiyo tumechekana haaaaaaaa you must be from a pearl harbor !!!!Hahahahaa Namimi nacheka maana wewe pia ulichapia π π
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] we naye huna Dogo !?? Mwanamme hakoseagi bana [emoji40] [emoji40] !!!.Hahahahaa nawewe umechapia. instead majina umeandika maji*
Ooohhh I didn't hear you say it happily!!.Let me try. I am chammak challoled already π π π π π nimejaribu tu maana hicho kikiristu Sio cha nchi hii
Mmhhh kivipi yan ?. ' from Pearl harbor?? Of course yes because you are 'Bomb'.Hahahahaa. We mtu kama hujasoma sheria sijui. Maana cyo kwa Mtapiko huo. Sijui ni Mimi ndo sijui lugha au unanifunga kamba tuu.