[emoji23] [emoji122] [emoji23] [emoji122] utanifanya nikajifunze sanaa ya uchoraji maana I would like to paint the really you !!.Bomb ur self. Hapa bila kupepesa macho nimeikamata na kuirudisha kwako paaaaaaap. 😀 😀
Yes ukivunja sheria za jf ban itakuhusu. Unapelekwa jela kwa muda watakaoamua wao. So be careful..Ban. Means kapigwa stop?
Kwanini wasikujue? Si unaitwa Aniva? Wote humu tumeshakujuaHeee. Makubwa haya. Sasa watanipeleka jela Kwani wananijua?
He he he he he he he heHeee. Makubwa haya. Sasa watanipeleka jela Kwani wananijua?
Mpenzi wakoNilikuwa nampa pole Nokia83 kwa kupata ban. Sio wewe
Thank you very much AnivaHahahahaa unazidi kukaa kwenye line tuu. Just go and come back after xkul then try to paint me 😀 😀
Sijui kafanya kosa gani. We fikiri tu ni utani, usije sema hukuambiwa.Kwahyo Nokia kafungwa kwa kosa gani ? Sizani kama Ni kweli labda humu pawe pa serikali other wise unatania mpnz
Ndio mkuu, ni baba watoto wanguMpenzi wako
Picha ni lazima utuwekee kwenye huu uzi wako wa utambulisho. Ni kigezo ambacho ni lazima ukitekeleze.Hakyanani nimejuta kutumia real name na hata picha siwez weka.
Yes..Heeee humu kuna familia kabisa?