Nikaribisheni

Nikaribisheni

Bomb ur self. Hapa bila kupepesa macho nimeikamata na kuirudisha kwako paaaaaaap. 😀 😀
[emoji23] [emoji122] [emoji23] [emoji122] utanifanya nikajifunze sanaa ya uchoraji maana I would like to paint the really you !!.
 
Yes ukivunja sheria za jf ban itakuhusu. Unapelekwa jela kwa muda watakaoamua wao. So be careful..
Heee. Makubwa haya. Sasa watanipeleka jela Kwani wananijua?
 
Kwanini wasikujue? Si unaitwa Aniva? Wote humu tumeshakujua
Kwahyo Nokia kafungwa kwa kosa gani ? Sizani kama Ni kweli labda humu pawe pa serikali other wise unatania mpnz
 
Hahahahaa unazidi kukaa kwenye line tuu. Just go and come back after xkul then try to paint me 😀 😀
Thank you very much Aniva
51d159602d533c50ff054ee015f14a8d.jpg
once again thank you for letting me to be your Young Jack ,dooohh you made me think of TITATIC !!.

Promise to paint you in unique way more than Great Jack alichokifanya kwa Great Rose !!.
 
Kwahyo Nokia kafungwa kwa kosa gani ? Sizani kama Ni kweli labda humu pawe pa serikali other wise unatania mpnz
Sijui kafanya kosa gani. We fikiri tu ni utani, usije sema hukuambiwa.
 
Back
Top Bottom