Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 24,893
- 47,768
Ukifikisha miaka mitatu JF utakuwa una maturity age, kuna jukwaa la wakubwa, ukifika muda utapelekwa, shunie kule ni kilanja mkuu mbobeziHahaahahhaha unaniacha hoi Kwa majibu yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukifikisha miaka mitatu JF utakuwa una maturity age, kuna jukwaa la wakubwa, ukifika muda utapelekwa, shunie kule ni kilanja mkuu mbobeziHahaahahhaha unaniacha hoi Kwa majibu yako
Kumbe kuandika majina halisi ni muhim sana. ILA linaonekana ni kenilikuwa nasubiri hili swali nilijua lazima litaulizwa ..heshima yko mkuu
Chupi ukiiona ina raha yake mrembo.Unaonekana unapenda kuchungulia chupi
Ndio vitu muhimu katika mwili wakoUone vilivondani?
Unajifanya mjuaji aya kila la kheri.Nimeeleza hapo Kwenye post yangu
Usijali utacheka vizuri inbox bila aibu, hapa naona kaaibu kanakunyima rahaYani nyie acha nicheke jamani loh!
Kwahiyo ww huna mapenzi kbs?!Sipendi chochote
Haya,Sizani Kama nimesoma post yako. ILa gudume ndo kanifurahisha na jina lake. Avatar mock yupo humu. Naww pia upo so ivo yani
Unaweza jifunza kidogo kidogo sawa ila vijana wa kukufundisha haraka haraka tupo cc Nokia83, Mwifwa, shunie, Toxic9Sawa toxic humu naona kuna mambo mengi sana ntajifunza kidogo kidogo