Badawisaidi
Member
- Aug 9, 2017
- 49
- 54
Karibu sana.Habari zenu. naitwa Aniva ni msichana 25-30's Age
Nimejiunga humu Jana. Naombeni Kiti Na miongozo ya humu ndani. Ntafurahi Kama nitapata marafiki Wa aina zote Asanteni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu sana.Habari zenu. naitwa Aniva ni msichana 25-30's Age
Nimejiunga humu Jana. Naombeni Kiti Na miongozo ya humu ndani. Ntafurahi Kama nitapata marafiki Wa aina zote Asanteni.
siwezi kukusahau sehemu kama hizi pimbi wanguNashukuru kipenzi kwa kunishtua maana ndio kitengo change.
Karibu mgeni we ni me o me?
Hivi unamkumbuka bibi erick otieno aka husna bosslasy?Karibu pm nasimamia kitengo hicho utijuta Aniva
MmhNifuate pm nikupe mwongozo wa humu JF usije jichanganya ukapigwa BAN
Karibu mgeni tena wewe pita hadi kuleeee[emoji23][emoji23][emoji23]Nikaribishe na Mimi
Kama husna bosslady halafu bado hawajifunzi tuMara nyingi id za kike zinazojitambilisha zikiingia jf huwa ni za kiume. Ili kuvuta attention.
KaribiaHabari zenu. naitwa Aniva ni msichana 25-30's Age
Nimejiunga humu Jana. Naombeni Kiti Na miongozo ya humu ndani. Ntafurahi Kama nitapata marafiki Wa aina zote Asanteni.
Ndio maana chemchem ya mahaba na upendo kila nikuonapo.siwezi kukusahau sehemu kama hizi pimbi wangu
Hii kumbukumbu kweli maana naona tayari nimekata na tamaa[emoji23]Hivi unamkumbuka bibi erick otieno aka husna bosslasy?
Nakukumbusha tu mimi[emoji124] [emoji124] [emoji124]
Usikate tamaa bhana nenda uje utupe ushuhuda humu[emoji23][emoji23][emoji23]Hii kumbukumbu kweli maana naona tayari nimekata na tamaa[emoji23]
[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]ila j asije sikia wala kusoma hapaNdio maana chemchem ya mahaba na upendo kila nikuonapo.
Hapo kwenye kuleeee naona tayari nimefika Hata kabla ujamalizia sentenceKaribu mgeni tena wewe pita hadi kuleeee[emoji23][emoji23][emoji23]
Muite mchina mweusi aje bhana
Ndo inavyotakiwa,hutakiwi kuchelewaHapo kwenye kuleeee naona tayari nimefika Hata kabla ujamalizia sentence
Unataka ukaribishwejeHabari zenu. naitwa Aniva ni msichana 25-30's Age
Nimejiunga humu Jana. Naombeni Kiti Na miongozo ya humu ndani. Ntafurahi Kama nitapata marafiki Wa aina zote Asanteni.
Usikate tamaa bhana nenda uje utupe ushuhuda humu[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]ila j asije sikia wala kusoma hapa