Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 16,036
- Thread starter
- #41
Si ndomana nmekubal kua wachezaj wa bongo ni bora kuliko wote dunian.Sasa unadhani ubora Wa uwanja hauongezi ubora Wa mchezaji? Na unafikiri kwanini wanaboresha ubora Wa viwanja.
Niambie timu inavyocheza Mkwakwani in sawa Na inavyocheza Taifa Dar es Salaam?
Sent from my HUAWEI Y625-U32 using JamiiForums mobile app