Nikasome Shahada ya Uzamili inayohusiana na nini?

Nikasome Shahada ya Uzamili inayohusiana na nini?

navigator msomi

Senior Member
Joined
May 8, 2018
Posts
188
Reaction score
224
Kwanza habari za wakati wanajamii wenzangu.!?
Mm ni mhitimu wa chuo kikuu cha dar es salaam(Udsm) katika fani ya bachelor of science with education majoring physics na chemistry. Mwaka huu 2018.

Kutokana na wimbi la ajira kutokueleweka napenda sana kuendelea kusoma digrii yangu ya pili.

Nipo hapa kuwaomba msaada wenu wa kuniorodheshea program yeyote nzur tofaut na ualim ambayo naweza kusomea masters.

Umri wangu mpaka saiz ni miaka 24. Katika degree yangu nilfanikiwa kupata GPA ya upper second 3.7

Kwahyo mchango wowote kwangu ni wa muhim sana kama utakua unaijua.

ASANTENI SANA na nasubir pia mawazo yenu.
 
Kwanza habari za wakati wanajamii wenzangu.!?
Mm ni mhitimu wa chuo kikuu cha dar es salaam(Udsm) katika fani ya bachelor of science with education majoring physics na chemistry. Mwaka huu 2018.

Kutokana na wimbi la ajira kutokueleweka napenda sana kuendelea kusoma digrii yangu ya pili.

Nipo hapa kuwaomba msaada wenu wa kuniorodheshea program yeyote nzur tofaut na ualim ambayo naweza kusomea masters.

Umri wangu mpaka saiz ni miaka 24. Katika degree yangu nilfanikiwa kupata GPA ya upper second 3.7

Kwahyo mchango wowote kwangu ni wa muhim sana kama utakua unaijua.

ASANTENI SANA na nasubir pia mawazo yenu.
We unataka kusoma masters ili iweje? Kwanini usitumie ada kujiajiri?
 
Wengi wanatoa ushauri kuwa jamaa aende Veta. Najua jamaa atakuwa na shingo ngumu kama farao kutowaachia wana wa israeli. Lakini baada ya Muda atasema ni kweli
 
Unaweza kuniambia fani moja tu ambayo kila mwenye masters anaajiriwa?

Na unawezakutusaidia tasnia moja ambayo wahitimu wake hawaajiriwi hata mmoja?

Baada ya hapo, tambua kwamba suala la kuajiriwa halipo kwenye udhibiti wako asilimia zote, kuna sehem yako na kuna eneo unategemea atakaekuajiri.

Ukisoma kitu kwa kulenga ajira, inaweza kuishia kukufedhehesha.
Pata muda, jiulize maswali ya msingi, kwanini unataka kusoma?
Taratibu unaweza kugundua hauhitaji hata masters au ukapata jibu la usomee kitu gani.

VETA nzuri kwa vile itakupa ujuzi na ufundi wa eneo flani, lakini kama haitoki ndani yako na umedhamiria kuajiriwa, haitakufaa.

Kila la kheri.
 
We ulipanga usome nini? Soma ulichopanga kusoma,ukifuata Sana hizi mambo ya kitu Fulani kina lipa kuzidi kingine au ajira zipo au hamna,nchi yetu huwa inategemea Sana mood ya wanasiasa huyu anaweza akaja ukashangaa Tu mrija wa juice uko mdomoni mwako na wakati hukutegemea,huyu akija atakavyo amka ndio na Sisi wengine tutaamka hivyo hivyo! Namaanisha we soma ya mbele yasikutishe Sana nchi zetu hazitabiriki
 
Acha tuu brooooo. Mm nna certificate ya veta nakula maisha. Gamba langu la degree hata sina mpango wa kulifuata Chuoni
Una certificate ya nini? Mimi nataka kusoma Industrial/Domestic Electrical Installation. Hapo unaniambiaje maana tayari nina basic ya Electrical Engineering Science kutoka Technical School. Pia hebu niambie kuhusu Renewable Energy(Solar Energy) nimeona shortcourse VetaDakawa.
 
Una certificate ya nini? Mimi nataka kusoma Industrial/Domestic Electrical Installation. Hapo unaniambiaje maana tayari nina basic ya Electrical Engineering Science kutoka Technical School. Pia hebu niambie kuhusu Renewable Energy(Solar Energy) nimeona shortcourse VetaDakawa.
Usisome short course. Soma long course. Hata mm nna Industrial. Pia nimesoma technical school majoring in Electrical.

Very simple soma tu bob
 
Back
Top Bottom