Hashimu lwenje
JF-Expert Member
- Oct 2, 2017
- 415
- 361
yec, naelewa, lakini kwa Tanzania unaposoma masters zaidi utaishia kuwa mwl mku,, mm kwa ushauri wangu ungesoma degree nyingine tu.Inaweza kuendelea masta na hii degree yangu mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yec, naelewa, lakini kwa Tanzania unaposoma masters zaidi utaishia kuwa mwl mku,, mm kwa ushauri wangu ungesoma degree nyingine tu.Inaweza kuendelea masta na hii degree yangu mkuu
Lakini vyuo Vikuu inahitajika GPA kuanzia ya 3.8, na mdau ana GPA ya 3.7.Kasome Msc. Physics uwe mwalimu wa chuo kikuu
GPA ya 8 ndio ikoje mkuuLakini vyuo Vikuu inahitajika GPA kuanzia ya 8, na mdau ana GPA ya 7.
Samahani Mkuu, nilimanisha 3.8 na 3.7 GPA. nimerekebisha tayari.GPA ya 8 ndio ikoje mkuu
Kwani veta siyo chuo,mbona una ubongo wa kuku wewe!??Nataka cozy ya chuo mkuu
Kwanza hongera kwa huo ufaulu ndg. Pili, kwa hayo masomo nakuhakikishia hutakaa mtaani muda mrefu maana kuna uhaba mkubwa wa walimu wa Physics na Chemistry. Lakini pia ukitaka kuajiriwa private sector hususani shule za private hutakosa. Mwisho kama una mpango wa kusoma Masters, nakushauri ufanye kazi walau miaka michache hope next year ajira zitatangazwa na Tamisemi. Ukiwa kazini halafu ukaomba ruhusa ya kwenda kusoma Masters mshahara unaendelea kuingia na kukusapoti gharama za chuo maana HESLB hawawezi kukupatia mkopo kama hujalipa nusu ya mkopo wa awali uliosomea undergraduate. Kuhusu course ya kusomea Masters nakushauri uendelee na sayansi yako, course za pure sayansi ni nyingi sanaKwanza habari za wakati wanajamii wenzangu.!?
Mm ni mhitimu wa chuo kikuu cha dar es salaam(Udsm) katika fani ya bachelor of science with education majoring physics na chemistry. Mwaka huu 2018.
Kutokana na wimbi la ajira kutokueleweka napenda sana kuendelea kusoma digrii yangu ya pili.
Nipo hapa kuwaomba msaada wenu wa kuniorodheshea program yeyote nzur tofaut na ualim ambayo naweza kusomea masters.
Umri wangu mpaka saiz ni miaka 24. Katika degree yangu nilfanikiwa kupata GPA ya upper second 3.7
Kwahyo mchango wowote kwangu ni wa muhim sana kama utakua unaijua.
ASANTENI SANA na nasubir pia mawazo yenu.
Ufafanuz kidg mkuu kuhusu hii inshuKasome public health
Thanks for ur advice kiongoziKwanza hongera kwa huo ufaulu ndg. Pili, kwa hayo masomo nakuhakikishia hutakaa mtaani muda mrefu maana kuna uhaba mkubwa wa walimu wa Physics na Chemistry. Lakini pia ukitaka kuajiriwa private sector hususani shule za private hutakosa. Mwisho kama una mpango wa kusoma Masters, nakushauri ufanye kazi walau miaka michache hope next year ajira zitatangazwa na Tamisemi. Ukiwa kazini halafu ukaomba ruhusa ya kwenda kusoma Masters mshahara unaendelea kuingia na kukusapoti gharama za chuo maana HESLB hawawezi kukupatia mkopo kama hujalipa nusu ya mkopo wa awali uliosomea undergraduate. Kuhusu course ya kusomea Masters nakushauri uendelee na sayansi yako, course za pure sayansi ni nyingi sana
Naunga mkono hoja hii coz sa hivi inatamba miradi ya afya ni mingiKasome public health
Nzuri piaKasome masters ya health management system
Karibu, nilisoma pia BSc EducationThanks for ur advice kiongozi
HAPANA kabisa labda tujue kwanza wasifa wao hao wanaomshauri hivyo, msipotoshe watu, sio kwamba graduate hawezi kusoma certificate (veta) hapana anaweza kama ana Interest /hobby na specific skills, nilishaona PhD holder (Dr) pale Udsm aliingia kusoma certificate ya entrepreneurship certificate course sababu alikuwa anaupenda tu ujasriamali sio AJIRAUnajuwa mkuu mtu akisoma vyuo vyetu anajiona ashakuwa msomi mkubwa kumbe Veta ni zaid ya hiyo UDSM kwenye maisha halisi ya mtaa
OK,ila ulichukua master ya kingine mkuu au ilikuajeKaribu, nilisoma pia BSc Education
Mawazo binafsiWe unataka kusoma masters ili iweje? Kwanini usitumie ada kujiajiri?
Kasome one of the followingKwanza habari za wakati wanajamii wenzangu.!?
Mm ni mhitimu wa chuo kikuu cha dar es salaam(Udsm) katika fani ya bachelor of science with education majoring physics na chemistry. Mwaka huu 2018.
Kutokana na wimbi la ajira kutokueleweka napenda sana kuendelea kusoma digrii yangu ya pili.
Nipo hapa kuwaomba msaada wenu wa kuniorodheshea program yeyote nzur tofaut na ualim ambayo naweza kusomea masters.
Umri wangu mpaka saiz ni miaka 24. Katika degree yangu nilfanikiwa kupata GPA ya upper second 3.7
Kwahyo mchango wowote kwangu ni wa muhim sana kama utakua unaijua.
ASANTENI SANA na nasubir pia mawazo yenu.