Nikasome Shahada ya Uzamili inayohusiana na nini?

Nikasome Shahada ya Uzamili inayohusiana na nini?

Kwanza habari za wakati wanajamii wenzangu.!?
Mm ni mhitimu wa chuo kikuu cha dar es salaam(Udsm) katika fani ya bachelor of science with education majoring physics na chemistry. Mwaka huu 2018.

Kutokana na wimbi la ajira kutokueleweka napenda sana kuendelea kusoma digrii yangu ya pili.

Nipo hapa kuwaomba msaada wenu wa kuniorodheshea program yeyote nzur tofaut na ualim ambayo naweza kusomea masters.

Umri wangu mpaka saiz ni miaka 24. Katika degree yangu nilfanikiwa kupata GPA ya upper second 3.7

Kwahyo mchango wowote kwangu ni wa muhim sana kama utakua unaijua.

ASANTENI SANA na nasubir pia mawazo yenu.
Kwanza hongera kwa huo ufaulu ndg. Pili, kwa hayo masomo nakuhakikishia hutakaa mtaani muda mrefu maana kuna uhaba mkubwa wa walimu wa Physics na Chemistry. Lakini pia ukitaka kuajiriwa private sector hususani shule za private hutakosa. Mwisho kama una mpango wa kusoma Masters, nakushauri ufanye kazi walau miaka michache hope next year ajira zitatangazwa na Tamisemi. Ukiwa kazini halafu ukaomba ruhusa ya kwenda kusoma Masters mshahara unaendelea kuingia na kukusapoti gharama za chuo maana HESLB hawawezi kukupatia mkopo kama hujalipa nusu ya mkopo wa awali uliosomea undergraduate. Kuhusu course ya kusomea Masters nakushauri uendelee na sayansi yako, course za pure sayansi ni nyingi sana
 
Kwanza hongera kwa huo ufaulu ndg. Pili, kwa hayo masomo nakuhakikishia hutakaa mtaani muda mrefu maana kuna uhaba mkubwa wa walimu wa Physics na Chemistry. Lakini pia ukitaka kuajiriwa private sector hususani shule za private hutakosa. Mwisho kama una mpango wa kusoma Masters, nakushauri ufanye kazi walau miaka michache hope next year ajira zitatangazwa na Tamisemi. Ukiwa kazini halafu ukaomba ruhusa ya kwenda kusoma Masters mshahara unaendelea kuingia na kukusapoti gharama za chuo maana HESLB hawawezi kukupatia mkopo kama hujalipa nusu ya mkopo wa awali uliosomea undergraduate. Kuhusu course ya kusomea Masters nakushauri uendelee na sayansi yako, course za pure sayansi ni nyingi sana
Thanks for ur advice kiongozi
 
Unajuwa mkuu mtu akisoma vyuo vyetu anajiona ashakuwa msomi mkubwa kumbe Veta ni zaid ya hiyo UDSM kwenye maisha halisi ya mtaa
HAPANA kabisa labda tujue kwanza wasifa wao hao wanaomshauri hivyo, msipotoshe watu, sio kwamba graduate hawezi kusoma certificate (veta) hapana anaweza kama ana Interest /hobby na specific skills, nilishaona PhD holder (Dr) pale Udsm aliingia kusoma certificate ya entrepreneurship certificate course sababu alikuwa anaupenda tu ujasriamali sio AJIRA
 
Kwanza habari za wakati wanajamii wenzangu.!?
Mm ni mhitimu wa chuo kikuu cha dar es salaam(Udsm) katika fani ya bachelor of science with education majoring physics na chemistry. Mwaka huu 2018.

Kutokana na wimbi la ajira kutokueleweka napenda sana kuendelea kusoma digrii yangu ya pili.

Nipo hapa kuwaomba msaada wenu wa kuniorodheshea program yeyote nzur tofaut na ualim ambayo naweza kusomea masters.

Umri wangu mpaka saiz ni miaka 24. Katika degree yangu nilfanikiwa kupata GPA ya upper second 3.7

Kwahyo mchango wowote kwangu ni wa muhim sana kama utakua unaijua.

ASANTENI SANA na nasubir pia mawazo yenu.
Kasome one of the following
Msc.physcs
Msc.material science
Msc.petroleum chemistry
 
Business administration, ikishindikana tafuta mtaji piga biashara. Kuna mdada alimaliza degree ya kwanza akaamua kupiga biashara ya kuuza uji bila kuangalia makunyanzi na sasa yupo mbali. Angalia tu mwisho wa siku unaingiza ngapi? Usichague kazi.
 
Are you passionate about science and technology? Ready to make a difference in the world of laboratory sciences? Join us at the Dar es Salaam Institute of Technology, Mwanza Campus for our Bachelor of Technology (B. Tech) in Laboratory Sciences program!
 
Back
Top Bottom