Nikasome Shahada ya Uzamili inayohusiana na nini?

Nikasome Shahada ya Uzamili inayohusiana na nini?

Kwanza habari za wakati wanajamii wenzangu.!?
Mm ni mhitimu wa chuo kikuu cha dar es salaam(Udsm) katika fani ya bachelor of science with education majoring physics na chemistry. Mwaka huu 2018.

Kutokana na wimbi la ajira kutokueleweka napenda sana kuendelea kusoma digrii yangu ya pili.

Nipo hapa kuwaomba msaada wenu wa kuniorodheshea program yeyote nzur tofaut na ualim ambayo naweza kusomea masters.

Umri wangu mpaka saiz ni miaka 24. Katika degree yangu nilfanikiwa kupata GPA ya upper second 3.7

Kwahyo mchango wowote kwangu ni wa muhim sana kama utakua unaijua.

ASANTENI SANA na nasubir pia mawazo yenu.
Hata ya Ufugaji ipo poa
 
Mwenyew kuna dogo langu kamaliza form 4 nataka nimpeleke veta hapa npo najiuliza sijuwi nimpeleke kozi gani
 
Kwanza fikiri unataka kufanya nini maishani mwako alafu nenda chuo ambacho kitakusaidoa kuongeza competency na confidence ya unachotaka kusomea huku mwenye uwe committed na jambo husika.
 
Ingia chama cha kijani, Fanya kujitoa akili, Tukana sana upinzani, post Kila mtandao wakijamii nakuhakikishia ukuu wawilaya unakuhusu muda si mrefu. Hiyo ada nenda kanunulie jezi na ujiunge mabado yakutosha.
 
Mkuu kwa ayoo masomo yako sidhani kama unaweza kukosa kazi private, kama kweli kichwan upo smart, material unatililika mwanzo mwisho, form one mpaka six physics wanahitajika sanaa, kizur zaid gpa ni nzur huwezi kosa kaz kabisaa
 
Mkuu kwa ayoo masomo yako sidhani kama unaweza kukosa kazi private, kama kweli kichwan upo smart, material unatililika mwanzo mwisho, form one mpaka six physics wanahitajika sanaa, kizur zaid gpa ni nzur huwezi kosa kaz kabisaa
Asante mkuu
 
Kwanza habari za wakati wanajamii wenzangu.!?
Mm ni mhitimu wa chuo kikuu cha dar es salaam(Udsm) katika fani ya bachelor of science with education majoring physics na chemistry. Mwaka huu 2018.

Kutokana na wimbi la ajira kutokueleweka napenda sana kuendelea kusoma digrii yangu ya pili.

Nipo hapa kuwaomba msaada wenu wa kuniorodheshea program yeyote nzur tofaut na ualim ambayo naweza kusomea masters.

Umri wangu mpaka saiz ni miaka 24. Katika degree yangu nilfanikiwa kupata GPA ya upper second 3.7

Kwahyo mchango wowote kwangu ni wa muhim sana kama utakua unaijua.

ASANTENI SANA na nasubir pia mawazo yenu.
Mimi nakushauri soma BSc Medicine au Pharmacy au somea Bsc medical laboratory mkuu,
 
Back
Top Bottom