Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maneno ya mtandaoni ni mengi.Hapo ulipo unajua fika kama umeongea uongoAcha tuu brooooo. Mm nna certificate ya veta nakula maisha. Gamba langu la degree hata sina mpango wa kulifuata Chuoni
Hata ya Ufugaji ipo poaKwanza habari za wakati wanajamii wenzangu.!?
Mm ni mhitimu wa chuo kikuu cha dar es salaam(Udsm) katika fani ya bachelor of science with education majoring physics na chemistry. Mwaka huu 2018.
Kutokana na wimbi la ajira kutokueleweka napenda sana kuendelea kusoma digrii yangu ya pili.
Nipo hapa kuwaomba msaada wenu wa kuniorodheshea program yeyote nzur tofaut na ualim ambayo naweza kusomea masters.
Umri wangu mpaka saiz ni miaka 24. Katika degree yangu nilfanikiwa kupata GPA ya upper second 3.7
Kwahyo mchango wowote kwangu ni wa muhim sana kama utakua unaijua.
ASANTENI SANA na nasubir pia mawazo yenu.
Hata ungesomea kufyatua matofari hicho cheo utapata tuu.Business Administration , baadae utakula shavu . Mkurugenzi wa wilaya !!!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Maneno ya mtandaoni ni mengi.Hapo ulipo unajua fika kama umeongea uongo
Dah...hata upishi...sisi tunapiga hela kinoma huku SGR kwa waturuki 😀😀😛Nenda VETA mkuu kasomee umeme wa magari hutojuta
Veta nawakubali sanaUnajuwa mkuu mtu akisoma vyuo vyetu anajiona ashakuwa msomi mkubwa kumbe Veta ni zaid ya hiyo UDSM kwenye maisha halisi ya mtaa
Ada yake ni kiasi ganiumeme wa magari veta kipawa, hutojutia
[emoji120] [emoji120]Kwanza fikiri unataka kufanya nini maishani mwako alafu nenda chuo ambacho kitakusaidoa kuongeza competency na confidence ya unachotaka kusomea huku mwenye uwe committed na jambo husika.
SawaKasome Msc. Physics uwe mwalimu wa chuo kikuu
Asante mkuuMkuu kwa ayoo masomo yako sidhani kama unaweza kukosa kazi private, kama kweli kichwan upo smart, material unatililika mwanzo mwisho, form one mpaka six physics wanahitajika sanaa, kizur zaid gpa ni nzur huwezi kosa kaz kabisaa
Mimi nakushauri soma BSc Medicine au Pharmacy au somea Bsc medical laboratory mkuu,Kwanza habari za wakati wanajamii wenzangu.!?
Mm ni mhitimu wa chuo kikuu cha dar es salaam(Udsm) katika fani ya bachelor of science with education majoring physics na chemistry. Mwaka huu 2018.
Kutokana na wimbi la ajira kutokueleweka napenda sana kuendelea kusoma digrii yangu ya pili.
Nipo hapa kuwaomba msaada wenu wa kuniorodheshea program yeyote nzur tofaut na ualim ambayo naweza kusomea masters.
Umri wangu mpaka saiz ni miaka 24. Katika degree yangu nilfanikiwa kupata GPA ya upper second 3.7
Kwahyo mchango wowote kwangu ni wa muhim sana kama utakua unaijua.
ASANTENI SANA na nasubir pia mawazo yenu.
Inaweza kuendelea masta na hii degree yangu mkuuMimi nakushauri soma BSc Medicine au Pharmacy au somea Bsc medical laboratory mkuu,