Nimekikumbuka hiki kisa nikaona nikitafuteKisa chenyewe kilitokea mlimani city kule upande wa chini kabisa kusiko na magari mengi upande wa Sam Nujoma rd.
Tulikubaliana na jamaa yangu tukutane pale kuna mzigo nimpe, lakini baadae akanipigia simu kuwa kapata dharura hivyo anamtuma bebi wake na akampa na contact zangu
Haukupita muda nikapigiwa simu na huyo bebi wa jamaa nikamuelekeza nilipopaki gari aina ya gari na namba zake
Bidada akazingatia maelekezo na akafika mpaka nilipo,alikuwa kajiremba kweli na sun glasses juu
Kumuona nikashusha kioo, kwa kujiamini kabisa akaniuliza wewe ndo mrs Mshana?? Kwanza nikapigwa na butwaa halafu hasira lakini nikajicontrol nikasema hapana!! Akawa kama kashangaa vile.halafu akasogea pembeni kidogo akapiga simu, simu yangu ikaita nikamwambia unanipigia mimi..!!!!
Duu akaja kwa hasira zote 'mimi nakuuliza kama wewe ni MRS MSHANA halafu unakataa?? Nikajua pamoja na urembo wote ule kuna shida mahali nikamjibu tu kwa ustaarabu 'mrs Mshana yuko hm mimi ni mr Mshana...!!!!
Nimeona watu wakifedheheka lakini huyu dada ilikuwa zaidi nikampa ule mzigo hakutaka hata lifti yangu
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] anaanzaje kupanda wakat tyr kashapoteanahahahaaaa!lazma akatae lift hapo....!
Quoted toka kwa yule manzi wa Jamaa [emoji87] [emoji87] [emoji87]Ati![emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ha ha haKisa chenyewe kilitokea mlimani city kule upande wa chini kabisa kusiko na magari mengi upande wa Sam Nujoma rd.
Tulikubaliana na jamaa yangu tukutane pale kuna mzigo nimpe, lakini baadae akanipigia simu kuwa kapata dharura hivyo anamtuma bebi wake na akampa na contact zangu
Haukupita muda nikapigiwa simu na huyo bebi wa jamaa nikamuelekeza nilipopaki gari aina ya gari na namba zake
Bidada akazingatia maelekezo na akafika mpaka nilipo,alikuwa kajiremba kweli na sun glasses juu
Kumuona nikashusha kioo, kwa kujiamini kabisa akaniuliza wewe ndo mrs Mshana?? Kwanza nikapigwa na butwaa halafu hasira lakini nikajicontrol nikasema hapana!! Akawa kama kashangaa vile.halafu akasogea pembeni kidogo akapiga simu, simu yangu ikaita nikamwambia unanipigia mimi..!!!!
Duu akaja kwa hasira zote 'mimi nakuuliza kama wewe ni MRS MSHANA halafu unakataa?? Nikajua pamoja na urembo wote ule kuna shida mahali nikamjibu tu kwa ustaarabu 'mrs Mshana yuko hm mimi ni mr Mshana...!!!!
Nimeona watu wakifedheheka lakini huyu dada ilikuwa zaidi nikampa ule mzigo hakutaka hata lifti yangu