Niki Mbishi ameacha rasmi kufanya muziki wa hip hop

Hata Fid Q na Madee achilia mbali mzee wa kibamia Roma wanafanya bongo flava
 
Yani mavazi ndio yamefanya useme amebadili aina ya muziki anaofanya!?
 
Nikki alishatangaza kabla ila cha ajabu aliendelea kutoa ngoma
 
Sihusiki nao. ni ngoma kal sana


Ila uyo aliejiandiksha ID Duke n wakumpuuza
Naona anatumia nguvu nying kufyatua nyuz kuaminisha watu alafu analeta habar nusu nusu zisizo na mashko
Iv kwa akil zako wakusema Hashim dogo ndio mwana hiphop bora afrika??
 
Aisee mimi huyo ngoma yake ninayoikubari sana sana ni nyakati za mashaka aliyomshirikisha grace matata....
Una mjua kumbe! Sizani kama nikki ana weza fanya upuuzi kama huo mtoa mada ni bongo flava. Nikki asha zushiwa vingi sana hadi waka sema ana Ngoma [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…