Mshauri ndugu yako kama yupo serious game ni strategy sio suala la kwamba tu yeye ni mtaalam wa kutunga na kufree style.
Kitu cha kwanza, Nikki hawezi kabisa chorus, hilo eneo asijaribu hata kidogo. Ameharibu ngoma zake nyingi sana kwa yeye mwenyewe kufanya chorus. Au akikaa kwenye chorus mwambie mwana aache mambo ya kuimba, hua anaharibu mbaya!! Afanye chorus za hiphop kama chorus za fidq kwenye MwanzaMwanza, Sumu, etc. Wimbo wa I am Sorry JK aliharibu sana chorus kwa kujiimbishaimbisha sema watu walimwelewa tu coz ujumbe uliwagusa maraia.
Pili, vina vya kuungaunga na vijimisemo (metaphors) watu walivipenda wakat anajitambulisha asifikiri yale ndo maisha. Atunge nyimbo za maisha/harakati/thug life/ hard topics then ajaze mistari ya maana na astick kwenye topic kuliko kuimba vitu vya kuokoteza ambavyo vinafanya watu wamchukulie poa. Akina Prof Jay, wanaimba vitu vya maana sana aige!
Tatu, muziki hajaanzisha yeye huyu jamaa, ameukuta!! Hua namuona anapenda battle za kujifanya yy ndo anajua sana muziki, fine na mm nakubali anajua. But anajilostisha snaa kwa kujifanya yy ndo kaleta muzik, ajifunze kwa watu waliofanikiwa ktk mazingira yake ili afanye maisha. We kujifa ya unajua sana KRS One anavofanya mziki afu inakusaidia nn. Otherwise akae kimya basi asilielie njaa. Akina AY, DARASA wanachange na kufanya kazi ye anabaki na mziki wa kihunihuni ambao mie nauita sio muxiki serious, ni mziki anaofanya nikki ni mziki flan wa kubattle na mtu tu au kufreestyle lkn sio wimbo wa kurekodi!! Mashairi mepesi sana!!
Nina pamphlet la ushauri kwa huyu chalii,