ROBERT MICHAEL
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 5,054
- 2,858
Hivi baada ya PHD kuna nini tena? Maana nasikia elimu haina mwisho .
Tukihoji sana tunaambiwa mahaters.
Digrii ya kwanza kasoma Socilogy UDSM, Masters ya Development Management UDSM, na anaendelea na PHD hapo hapo UDSM kwenye maswala ya Usimamizi wa maendeleo, anaadika Thesis in Monitoring n evaluation.
Hongera zake nyingi
Hhhha elimu yake inampa ninii sasa kusoma kote huko anauza tishet,hizo kozi nazo mmmhhh
Aha kumbe ndo kasomea hivo vitu vya kitoto .. Inabidi sasa asome PERSONAL DEVELOPMENT kujisaidia mwenyewe aachane na hizo community development, socialogy n shit shit degrees
Aha kumbe ndo kasomea hivo vitu vya kitoto .. Inabidi sasa asome PERSONAL DEVELOPMENT kujisaidia mwenyewe aachane na hizo community development, socialogy n shit shit degrees
Du mkuu umeua maana waakina Adam Mchomvu ndio wanaomuongoza na hiyo masters yake.
Akishakuwa na PHD atakuwa anaitwa msanii msomi kuliko wote.
jamaa ni conscious sana mpaka raha wangepatikana wasanii 10 kama yeye mziki ungefika mbali
jamaa ni conscious sana mpaka raha wangepatikana wasanii 10 kama yeye mziki ungefika mbali
Tena atakuwa wanaomcontrol darasa la 12 na la 14 la waakina Mchovu na B12.
Akishakuwa na PHD atakuwa anaitwa msanii msomi kuliko wote.
Mpaka sasa ndio wanaoamua hatima yake hapa mjini.
Haha ama asome PERSONAL MANAGEMENT.. Ndo maana anajifanya mwanamziki kumbe kakosa ajira
Mmh ananini cha kujivunia alichosaidia sanaa..enyewe kang'ang'ania mziki baada ya kukosa ajira na degree yake ya kike mpaka uhonge penzi ndo unapata kazi..sa ye atahonga nn...
Kwani Niki muziki wake umefika mbali yeye?
Mpaka sasa ndio wanaoamua hatima yake hapa mjini.
ndo mdudu gani development management?
Its a mavi degree how can u manage development???!!!.... Wakati we mwenyewe hujadevelop anakumanage peter mchomvu... Degree zingine zifutwe tu...