Niki wa Pili arudi shule kusomea PHD

Usihofu mkuu, kazana na shule epuka sept conference.

Sijawahi na sitowahi.sikupenda tu kauli yako basi tupe alternative ya kujiunga chuo tz tuachane na TCU,kwasababu unamaanisha wanafunzi wa liopitia TCU wote ni Bomu ni vilaza
 
Hivi vitu vingine unasomea halafu unaishia kuwa mkunga...

Sociology chuo nlichosoma asilimia 90 walikuwa mabinti.

Ndio watendaji wa kata,tusikimbie ukweli ila tuboresha kupoteza wataalamu kwa kuangaika na michango wakati tunawahitaji kwa sasa maana jamii ina machizi wengi kutokana na mikopo na maisha magumu yatukumbayo.
 
Sijawahi na sitowahi.sikupenda tu kauli yako basi tupe alternative ya kujiunga chuo tz tuachane na TCU,kwasababu unamaanisha wanafunzi wa liopitia TCU wote ni Bomu ni vilaza

Mimi nawaonea donge kwa kufanya mtihani wa Taifa na kwenda JKT.Hamna lingine.
 
Ndio watendaji wa kata,tusikimbie ukweli ila tuboresha kupoteza wataalamu kwa kuangaika na michango wakati tunawahitaji kwa sasa maana jamii ina machizi wengi kutokana na mikopo na maisha magumu yatukumbayo.

Mm naogopa kuuliza A-level alisoma combination gani...

Ntakuja kuambiwa HKL AU KLF ntakuwa disapointed.
 
Wivu utawaua......no matter anasomea nn.masters itabaki kuwa masters na phd itabak kuwa phd

Watanganyika tukiambiana ukweli tunaambiana wivu.Tuendelee na nchi yetu.Kila la heri Niki ,fanya bidii umtumikishe Ruge na wewe maana yeye amewatumikisha vya kutosha wewe na kakayo.
 
Wivu utawaua......no matter anasomea nn.masters itabaki kuwa masters na phd itabak kuwa phd

Akimaliza phd akipata refa anakuja kufundisha watoto zetu development management wakati kaishia kuiona kwenye vitabu tu.

Awa ndio wasomi wa kibongobongo hawaelimiki ila wana vyeti gunia.
 
Kasoma combination ipi form six? Shahada kasoma ipi? Masters? Dissertation yake inahusu nini?
 
Aha kumbe ndo kasomea hivo vitu vya kitoto .. Inabidi sasa asome PERSONAL DEVELOPMENT kujisaidia mwenyewe aachane na hizo community development, socialogy n shit shit degrees

kwani si yeye na nyie kasomeni basi kama ni rahic kama mnavyovikiria
 
Mm naogopa kuuliza A-level alisoma combination gani...

Ntakuja kuambiwa HKL AU KLF ntakuwa disapointed.

huwe dissapointed we inakuhusu nn muacheni nikki kama mnataka kasomeni na nyie
 
kwani si yeye na nyie kasomeni basi kama ni rahic kama mnavyovikiria


Don't panic ulove

Kama ni msomi nafikiri umeelewa situation.....

Huna haja ya kubishana....... kamata popcorn tucheze kwa furaha kuwa msomi kuna raha yake asikwambie mutu....
 
Last edited by a moderator:
thanks thanks thanks
muacheni asome hata akimlamba nnya ruge
mwenye elimu ana elimu tu


Mungu akubariki mwalimu.


chezea kuruka vigingi vya sapu wewe?? chezea assignments na UE wewe??

Labda Kama hujui ladha ya kuitwa msomi.......
 
Mungu akubariki mwalimu.


chezea kuruka vigingi vya sapu wewe?? chezea assignments na UE wewe??

Labda Kama hujui ladha ya kuitwa msomi.......

Da mkuu hapo ndio umeongea, hamna kitu kilichokuwa kinachoharibu likizo yangu maridhawa kama Sup haswa kwa masomo yao yasio na kichwa na miguu hilo DS.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…