Wewe kweli boya, bajeti sio Jambo la msingi?. Halafu hizo kazi unazosema zipo wapi?. Ukimya wavijana wa Tanzania usiwafanye nyie chawa kuwadharau.Ndiyo tumewazidi tena mbali sana,angekuwa wameisoma kama huku was ingekuwa na muda wa kupoteza kwenye mambo ambao hayana maana. Angalia tu vijana wa huko wanavyo haha hadi wanavamia kafteria za waheshimiwa na kula chakula chao kisa kodi, kwani kuongezeka kwa kodi kuna shida gani. Sisi hatuwezi fanya hayo mambo tupo bize na kazi ndiyo maana na uchumi umepanda.
Kwanini tuiombee amani Kama tunaamini haki ipo?.naungana na wengi mnaosema tusiwaige. kikubwa tuombee amani juu ya nchi yetu.
Chawa wa mama, unawaza akili yako unawaza CHADEMA Wala sio nchi. Unadhani ni wangapi wanaadhirika na VAT 18%.Vijana wa Chedema
4Rs za Samia sio Kwa Ajili ya kusaidia Machadema Bali Wananchi.Usidhubutu mwenyewe. Naona hata zile 4Rs mmezikataa. Wanafiki wakubwa. Ndio maana mnakufa kwa aibu.
Hivi Hii sheria na katiba huwa ni kwa upande mmoja tu..Tufuate SHERIA na katiba yetu
Watawala wanatuogopa sasa.Ndo tunakoelekea huko 🤒😎
Kenya kumekucha maandamano hayoHabr wanjf. Ukweli nimekuwa nikufautilia kwa ukaribu siasa na uchumi wa Kenya, pia maono ya watu mbalimbali, kisaikolojia ukisoma comment nyingi inaonesha wazi vijana wengi wameshaanza kujiona wako tofauti na vijana wa nchi jirani au nchi zingine.
Hivyo imekuwa kama mfano halisi kwao. Naomba niwasihi vijana msijaribu kumfanya hivyo, Kila mtu ananjia yake ya kufanikiwa wenzetu wamezoea fujo sisi sio wao, tujitafakari.
Amani ya nchi yetu ni tunu yetu. Kamwe tusifuate njia potofu kudai haki. Naomba kuwasilisha.
Ikiwa wewe mambo yako mazuri usikirie watu wote wako kama wewe ,umepata fupa una ngengena kuna watu hali mbaya zaidi tena ndio waliowengi .Tabia ya binadamu asipopata haki yake basi ataitafuta kinguvu na huko ndiko tunakoelekea Mawaziri .Wabunge hawana Vision ya kuchukua kodi kwengine .Bidha imetoka nje umenunua shilingi moja usafirashaji shilingi mbili .Ushuru shilingi kumi plus ukiuza madukani Tax ya shillingi 7 So shilingi 10 Ushuru plus Tax 7 total 17 za serikali bidhaa ni shilingi moja tu na usafiri shilingi 2 .Sasa wewe utauzaje apo kweli utatoa risiti Tuna viongozi wa hovyo sana hawajali maisha ya wananchi unasema wasiingie barabarani its just a matter of time tu hii ni (GEN Z) Tuko ktk ulimwengu wa DOT COM any thing is posible kama huamini angalia nyumbani kwako watoto wako wanafanya kitu gani ktk hiyo DOT COM.Habr wanjf. Ukweli nimekuwa nikufautilia kwa ukaribu siasa na uchumi wa Kenya, pia maono ya watu mbalimbali, kisaikolojia ukisoma comment nyingi inaonesha wazi vijana wengi wameshaanza kujiona wako tofauti na vijana wa nchi jirani au nchi zingine.
Hivyo imekuwa kama mfano halisi kwao. Naomba niwasihi vijana msijaribu kumfanya hivyo, Kila mtu ananjia yake ya kufanikiwa wenzetu wamezoea fujo sisi sio wao, tujitafakari.
Amani ya nchi yetu ni tunu yetu. Kamwe tusifuate njia potofu kudai haki. Naomba kuwasilisha.
Maandamano sio fujo na pia kumbuka watu wanaweza kuleta fujo bila maandamano. Mchakato wa kukataa Finance Bill ya Kenya ulijumuisha marika yote ndio maana hadi mawakili wakongwe walifungua hadi mashauri mahakamani kupinga muswada huo. La kujifunza kutoka Kenya ni kuwa, bila kuchukua hatua unaweza nyanyaswa na hata kupoteza haki zako. Kwa Tanzania, kabla ya kufikiria kuandamana, ni lazima wajifunze kufuatilia vitu (elimu, siasa, uongozi etc) ili kuweza kuelewa haki zao na vile taratibu zinapaswa kuwa.Habr wanjf. Ukweli nimekuwa nikufautilia kwa ukaribu siasa na uchumi wa Kenya, pia maono ya watu mbalimbali, kisaikolojia ukisoma comment nyingi inaonesha wazi vijana wengi wameshaanza kujiona wako tofauti na vijana wa nchi jirani au nchi zingine.
Hivyo imekuwa kama mfano halisi kwao. Naomba niwasihi vijana msijaribu kumfanya hivyo, Kila mtu ananjia yake ya kufanikiwa wenzetu wamezoea fujo sisi sio wao, tujitafakari.
Amani ya nchi yetu ni tunu yetu. Kamwe tusifuate njia potofu kudai haki. Naomba kuwasilisha.
Amani yenyewe hata hatuna, ila ndo tunaelekea huko kuitafuta kwasababu tukidai kwa amani wanatuambia tuhamie BurundiHabr wanjf. Ukweli nimekuwa nikufautilia kwa ukaribu siasa na uchumi wa Kenya, pia maono ya watu mbalimbali, kisaikolojia ukisoma comment nyingi inaonesha wazi vijana wengi wameshaanza kujiona wako tofauti na vijana wa nchi jirani au nchi zingine.
Hivyo imekuwa kama mfano halisi kwao. Naomba niwasihi vijana msijaribu kumfanya hivyo, Kila mtu ananjia yake ya kufanikiwa wenzetu wamezoea fujo sisi sio wao, tujitafakari.
Amani ya nchi yetu ni tunu yetu. Kamwe tusifuate njia potofu kudai haki. Naomba kuwasilisha.
Foundation muhimu! sio lawama ni facts💯Stupid idiot. Alikuset kwenye nini wewe mjinga?. Kwani unamlaumu mtu aliyestaafu mwaka 1985?. Mkiambiwa Katiba mpya mnakataa, mmebaki kulaumu watu. Stupid idiot, unashindwa kuwa sehemu ya mabadiliko umebaki kulalama.
Lipa Kodi kwa maendeleo ya Nchi yakoChawa wa mama, unawaza akili yako unawaza CHADEMA Wala sio nchi. Unadhani ni wangapi wanaadhirika na VAT 18%.
Amani fake na nidhamu ya woga ndo nguzo kuu za njaa na umaskiniAmani na Upendo ndo nguzo kuuu ya maendeleo..
Uh!! Hii ndo kazi ya mwenge kuwafanya watu ndodocha kama akili yakoHatuwezi kufatilia mambo ya wenzetu haya tuhusu.Yaani niache kufatilia tetesi za usajili, ku bet, nifatilie maandamano? niwapongeze viongozi wetu kwa amani tuliyokuwa nayo ni kwasababu pia vijana wengi wa sasa ni wasomi tofauti na kwa wenzetu kichwani hakuna shule wanaendekeza uhuni siasa badala ya kufanya kazi.
Tuwarudishe tuu, tuwape uraia na ardhiNi mara mia mngetuacha kwa hao wakoloni weupe tungekua tumefika mbali san kuliko hawa watawala wa africa wenzetu