Nikiangalia comment za vijana wa kitanzania kuhusu maandamano ya Kenya ni kama mnatamani ila mnashindwa nani aanzishe. Msithubutu tuipende nchi yetu

Nikiangalia comment za vijana wa kitanzania kuhusu maandamano ya Kenya ni kama mnatamani ila mnashindwa nani aanzishe. Msithubutu tuipende nchi yetu

Ndiyo tumewazidi tena mbali sana,angekuwa wameisoma kama huku was ingekuwa na muda wa kupoteza kwenye mambo ambao hayana maana. Angalia tu vijana wa huko wanavyo haha hadi wanavamia kafteria za waheshimiwa na kula chakula chao kisa kodi, kwani kuongezeka kwa kodi kuna shida gani. Sisi hatuwezi fanya hayo mambo tupo bize na kazi ndiyo maana na uchumi umepanda.
Wewe kweli boya, bajeti sio Jambo la msingi?. Halafu hizo kazi unazosema zipo wapi?. Ukimya wavijana wa Tanzania usiwafanye nyie chawa kuwadharau.
 
Tufuate SHERIA na katiba yetu
Hivi Hii sheria na katiba huwa ni kwa upande mmoja tu..

Huonekana vibaya pale Raia wasipofata Sheria na Katiba ila Viongozi wasipofata Huonekana Ni sawa Tu..

Hii double standard mngeiacha
 
Kipimo cha uoga wetu kinatakiwa kiwe kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu mwaka huu na mwaka kesho. Mtu akijaribu kuiba kura tumalizane naye
 
Tanzania kunatumika mfumo wa divide and rule.

Mfano tu:
Wafanyakazi wa Sekta binafsi na wafanyakazi wa serikali.

Ikitokea hawa wa sekta binafsi wana mgomo kutetea haki zao basi hutawaona hawa wa serikali wakisapoti wenzao.

Ikitokea wa serikali wana mgomo hutasikia wa sekta binafsi wanapaza sauti kutetea wenzao. Hivyo inakuwa rahisi kuwatawala miaka dahari.

Walioajiriwa na wasioajiriwa.
Ikitokea walioajiriwa wanaandamana au kugoma kudai haki hawa wasioajiriwa huwezi kuwasikia wanaungana kutetea wenzao na ikitokea wasioajiriwa ndio waandamanaji hutasikia walioajiriwa wakisapoti chochote.

Kwa nje mtu akiwaangalia watanzania ataona kuwa ni wa moja ila kiuhalisia mioyo yao ipo mbalimbali sana.

Chama tawala kitaendelea kutawala miaka nenda rudi.
 
Mpumbavu wa hedi wewe, hao walioshika hawaipendi wewe usiyejua unakula nini baadae ndo unaipenda?
 
Habr wanjf. Ukweli nimekuwa nikufautilia kwa ukaribu siasa na uchumi wa Kenya, pia maono ya watu mbalimbali, kisaikolojia ukisoma comment nyingi inaonesha wazi vijana wengi wameshaanza kujiona wako tofauti na vijana wa nchi jirani au nchi zingine.

Hivyo imekuwa kama mfano halisi kwao. Naomba niwasihi vijana msijaribu kumfanya hivyo, Kila mtu ananjia yake ya kufanikiwa wenzetu wamezoea fujo sisi sio wao, tujitafakari.

Amani ya nchi yetu ni tunu yetu. Kamwe tusifuate njia potofu kudai haki. Naomba kuwasilisha.
Kenya kumekucha maandamano hayo
 
Binadamu kwenye njaa na manyanyaso hajawahi kukaa sawa.

Ukweli usemwe vijana wengi kuanzia hapa 2002 wako moto sana na mambo makubwa na yanafanikiwa kwa namna zao.Hasa baada ya ujio wa hizi Techs.

KItoto cha la Kwanza siku hizi kinaweza kukushangaza kwenye mazungumzo.😀😀😀 hawa wa Public School.

Njoo kwa hawa wapanda magari ya Njano...Kitoto cha Class one hahaha unaweza kubishana nako ukaona kabisa huu upepo sio huko mbele.

Dunia inabadilika haihitaji vitisho kupata haki.Kama Wazee hawakujipanga ,watapangiwa huko mbeleni.

Keki iendelee kuliwa kiganga ganga..Muda hausubiri.
 
Habr wanjf. Ukweli nimekuwa nikufautilia kwa ukaribu siasa na uchumi wa Kenya, pia maono ya watu mbalimbali, kisaikolojia ukisoma comment nyingi inaonesha wazi vijana wengi wameshaanza kujiona wako tofauti na vijana wa nchi jirani au nchi zingine.

Hivyo imekuwa kama mfano halisi kwao. Naomba niwasihi vijana msijaribu kumfanya hivyo, Kila mtu ananjia yake ya kufanikiwa wenzetu wamezoea fujo sisi sio wao, tujitafakari.

Amani ya nchi yetu ni tunu yetu. Kamwe tusifuate njia potofu kudai haki. Naomba kuwasilisha.
Ikiwa wewe mambo yako mazuri usikirie watu wote wako kama wewe ,umepata fupa una ngengena kuna watu hali mbaya zaidi tena ndio waliowengi .Tabia ya binadamu asipopata haki yake basi ataitafuta kinguvu na huko ndiko tunakoelekea Mawaziri .Wabunge hawana Vision ya kuchukua kodi kwengine .Bidha imetoka nje umenunua shilingi moja usafirashaji shilingi mbili .Ushuru shilingi kumi plus ukiuza madukani Tax ya shillingi 7 So shilingi 10 Ushuru plus Tax 7 total 17 za serikali bidhaa ni shilingi moja tu na usafiri shilingi 2 .Sasa wewe utauzaje apo kweli utatoa risiti Tuna viongozi wa hovyo sana hawajali maisha ya wananchi unasema wasiingie barabarani its just a matter of time tu hii ni (GEN Z) Tuko ktk ulimwengu wa DOT COM any thing is posible kama huamini angalia nyumbani kwako watoto wako wanafanya kitu gani ktk hiyo DOT COM.
 
Habr wanjf. Ukweli nimekuwa nikufautilia kwa ukaribu siasa na uchumi wa Kenya, pia maono ya watu mbalimbali, kisaikolojia ukisoma comment nyingi inaonesha wazi vijana wengi wameshaanza kujiona wako tofauti na vijana wa nchi jirani au nchi zingine.

Hivyo imekuwa kama mfano halisi kwao. Naomba niwasihi vijana msijaribu kumfanya hivyo, Kila mtu ananjia yake ya kufanikiwa wenzetu wamezoea fujo sisi sio wao, tujitafakari.

Amani ya nchi yetu ni tunu yetu. Kamwe tusifuate njia potofu kudai haki. Naomba kuwasilisha.
Maandamano sio fujo na pia kumbuka watu wanaweza kuleta fujo bila maandamano. Mchakato wa kukataa Finance Bill ya Kenya ulijumuisha marika yote ndio maana hadi mawakili wakongwe walifungua hadi mashauri mahakamani kupinga muswada huo. La kujifunza kutoka Kenya ni kuwa, bila kuchukua hatua unaweza nyanyaswa na hata kupoteza haki zako. Kwa Tanzania, kabla ya kufikiria kuandamana, ni lazima wajifunze kufuatilia vitu (elimu, siasa, uongozi etc) ili kuweza kuelewa haki zao na vile taratibu zinapaswa kuwa.
 
Habr wanjf. Ukweli nimekuwa nikufautilia kwa ukaribu siasa na uchumi wa Kenya, pia maono ya watu mbalimbali, kisaikolojia ukisoma comment nyingi inaonesha wazi vijana wengi wameshaanza kujiona wako tofauti na vijana wa nchi jirani au nchi zingine.

Hivyo imekuwa kama mfano halisi kwao. Naomba niwasihi vijana msijaribu kumfanya hivyo, Kila mtu ananjia yake ya kufanikiwa wenzetu wamezoea fujo sisi sio wao, tujitafakari.

Amani ya nchi yetu ni tunu yetu. Kamwe tusifuate njia potofu kudai haki. Naomba kuwasilisha.
Amani yenyewe hata hatuna, ila ndo tunaelekea huko kuitafuta kwasababu tukidai kwa amani wanatuambia tuhamie Burundi
 
Stupid idiot. Alikuset kwenye nini wewe mjinga?. Kwani unamlaumu mtu aliyestaafu mwaka 1985?. Mkiambiwa Katiba mpya mnakataa, mmebaki kulaumu watu. Stupid idiot, unashindwa kuwa sehemu ya mabadiliko umebaki kulalama.
Foundation muhimu! sio lawama ni facts💯
 
Fursa zipo nyingi tu huko Katavi kwenye kilimo cha mahindi pia Tukuyu kilimo cha Viazi. Vijana wajiajiri Kama spika anavyoshauri
 
D
Hatuwezi kufatilia mambo ya wenzetu haya tuhusu.Yaani niache kufatilia tetesi za usajili, ku bet, nifatilie maandamano? niwapongeze viongozi wetu kwa amani tuliyokuwa nayo ni kwasababu pia vijana wengi wa sasa ni wasomi tofauti na kwa wenzetu kichwani hakuna shule wanaendekeza uhuni siasa badala ya kufanya kazi.
Uh!! Hii ndo kazi ya mwenge kuwafanya watu ndodocha kama akili yako
 
Back
Top Bottom