Nikifanya kazi za kuzoa taka halmashauri sitapata hasara

Nikifanya kazi za kuzoa taka halmashauri sitapata hasara

gasper2015

New Member
Joined
Jan 11, 2022
Posts
3
Reaction score
4
Kuna hizi kazi za tenda wanatangaza sana halmashauri, ya kufanya usafi na kuzoa taka ngumu na kwenda kutupa dampo.

Kazi hii kiuhalisia sio ngumu lakini ugumu unakuja kwenye malipo yaani wanataka pia ukusanye ushuru wa taka na 30% ulipe halmashauri inayobaki ya kwako, issue ngumu hapa ni kudeli na watu ili kulipa ushuru wa taka.

Wenye uzoefu naomba msaada je nikiingia kwenye hiyo kazi sita pata hasara

Asante 0622575615
 
Achana nayo, yani ukusanye pesa asilimia 100% zote ziingie halmashauri halafu wao ndio wakupe asilimia 70 yako, wewe unaona ni akili hiyo?
 
Hasara zipo Kila kazi Ina changamoto yake, ww km huna kazi nyingine fanya hyo hyo
 
Back
Top Bottom