Nikifanya mapenzi naharibu ratiba ya kujisaidia

Pole mwenzangu, mwenzio nikifanya mapenzi na mpango wa kando tu lazima niharishe. Sasa wewe hilo linakutokea ukiwa na mkeo au mpango wa kando?
 
asa cross joint inahusika na nini sasa hapo
 
ha ha ha ha ha ha acheni kuvunja wenzenu mbavu bwana
 


Du! Mapiiiii zamu yako kukuja
 
Last edited by a moderator:
Na kuna watu wanampango wa kuhama jf!! Mimi sihami humu dah! Stress zote kwisha
 

Unaruka ukuta?
 
hamjamuelewa tatizo lake ni kulipia huduma ya choo full stop.ushauri wangu kanunue kibeseni cha mtoto(jina lake silijui)wanatumia sana wamama wawapo safarini ili uwe unatembea na choo chako.
 
Kwani kulipia choo nako ni issue au inaharibu bajeti yako. my take. ushoga na ufanyaji wa tendo kinyume na maumbile ni sababu pekee hapa
 
Jitahidi unywe maji yakutosha, lakini je ukija kunya mchana karo linajaa...?
 
ukiwa na macho, masikio na mdomo tena ukawa unaweza kusoma yaliyo jf umebahatika sana
kha basi jisaidie kwanza kabla ya kufanya mapenzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…